sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Shule ya Sekondari ya Serikali OLDONYO SAMBU yenye usajili namba s0977 iliyopo Wilaya ya Arusha Vijijini (O-level) wanafunzi wake wanatozwa kiasi cha Tsh 440,000 kwa mwaka kwa ajili ya malipo ya mchango wa bweni na chakula. Mabweni yamejengwa ndani ya eneo la shule lakini watoto wanayalipia.
NAOMBA KUFAHAMU KAMA KUNA SHULE ZA SERIKALI ZA O-LEVEL AMBAZO HAZINUFAIKI NA ELIMU BURE.
NAOMBA KUFAHAMU KAMA KUNA SHULE ZA SERIKALI ZA O-LEVEL AMBAZO HAZINUFAIKI NA ELIMU BURE.