Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,006
KLMMkoa gani huo?
Ndo uko ulijifunzia mpira?Chama la wana hilo na Ukorofi wote ila 1.3 haikosekani, napenda kutuma salamu kwa masela wa Lumumba, Agrey, nenda mpaka kule kijiweni, Kombo bila kusahau Takri..hahahaa
Kama unaikumbuka Lyamacha/lyamungo and machame njoo Pm plse unaweza kuta wewe ndio ulikua penpal wangu tukapotezana hahaa
Hongereni Wakali wa Lyamungo
Na mzee manase mtaalamu wa Fongo.Chama la wana hilo na Ukorofi wote ila 1.3 haikosekani, napenda kutuma salamu kwa masela wa Lumumba, Agrey, nenda mpaka kule kijiweni, Kombo bila kusahau Takri..hahahaa
Kama unaikumbuka Lyamacha/lyamungo and machame njoo Pm plse unaweza kuta wewe ndio ulikua penpal wangu tukapotezana hahaa
Hongereni Wakali wa Lyamungo
Elimu imechanganywa na siasa...hizo ni one za mchongo ili kumridhisha chui jike.One za siku hizi dah.... kila nyumba kuna one kweli..😃🙌
Kimata, mzee mushi, Jembe,Chama la wana hilo na Ukorofi wote ila 1.3 haikosekani, napenda kutuma salamu kwa masela wa Lumumba, Agrey, nenda mpaka kule kijiweni, Kombo bila kusahau Takri..hahahaa
Kama unaikumbuka Lyamacha/lyamungo and machame njoo Pm plse unaweza kuta wewe ndio ulikua penpal wangu tukapotezana hahaa
Hongereni Wakali wa Lyamungo
School mate hapaa hahahaaa aseee ile shule safi sanaWapi Same high school?
Jesus is Lord
Hakuna hata division one ya maana. Hakuna hata point 6? Wenzao wana points 3 nyingi. Hawa wa kawaida sana
Lyamungo sio shule ya vipaji ni ya kawaida au hulikua hulifahamu hiloHakuna hata division one ya maana. Hakuna hata point 6? Wenzao wana points 3 nyingi. Hawa wa kawaida sana