M MZAWA JF JF-Expert Member Apr 4, 2014 4,112 3,336 Mar 24, 2015 #1 Hii shule kongwe imefungwa jana kwa sababu tajwa hapo juu. mbaya zaidi ina form 6 watakaofanya mitihani may. kwa anayejua zaidi karibu. Source: mwalimu anayefundisha hapo. Hali ni mbaya kwa kweli
Hii shule kongwe imefungwa jana kwa sababu tajwa hapo juu. mbaya zaidi ina form 6 watakaofanya mitihani may. kwa anayejua zaidi karibu. Source: mwalimu anayefundisha hapo. Hali ni mbaya kwa kweli
Kashi JF-Expert Member Jan 6, 2013 897 743 Mar 24, 2015 #2 Shule yangu masikini. Hii nchi sasa inatembelea rim
C Cyriacus Member Feb 4, 2014 40 3 Mar 25, 2015 #4 Shule hii iko Karibu na Ikulu ya mkoa wa Tabora. Naifahamu sana maana ni jirani na niliposoma mimi "Tabora-Boys'".
Shule hii iko Karibu na Ikulu ya mkoa wa Tabora. Naifahamu sana maana ni jirani na niliposoma mimi "Tabora-Boys'".
O oswinwilliam Senior Member Jan 6, 2015 112 12 Mar 25, 2015 #5 apo apo ada mnataka kufuta watu wanalipa ada na chakula kinaisha masomo wanakosa ii tanzania jah bless
apo apo ada mnataka kufuta watu wanalipa ada na chakula kinaisha masomo wanakosa ii tanzania jah bless
K kajunju JF-Expert Member Jun 30, 2011 999 315 Mar 25, 2015 #6 kuna rafiki yangu ana mdogo wake kondoa girls nao wamefunga tangu ijumaa shida ni msosi
K KASEHUYE JF-Expert Member Mar 11, 2014 299 59 Mar 25, 2015 #8 Mmmmh...ni shiiidaaaaah!!! Bado kidogo tu mishahara itaanza kuwa shida nayo