Shule ya sekondari kasulu-T.A.P.A iliyosaidia wengi yaporomoka na yaweza fungwa kwa kukosa wanafunzi

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Shule hii ya sekondari iliyokongwe katika wilaya ya kasulu, na imeibua wengi sasa meneja wake(headmaster) Zahoro Nkondokaya ameielekeza kibra, na muda wowote itafungwa.

Itafungwa kwa sababu kadhaa:-

1. Headmaster Zahoro halipi mishahara walimu na watumishi wasio waalimu, pesa yoote anakula mwenyewe tu. Hali hii imesababisha walimu kususa kufundisha na wanafunzi hawajifunzi lolote shuleni.

2. Mkuu wa shule kawadanganya wazazi walipe ada kwa simu na wazazi wasio jielewa wamelipa na anawapa receipt. Hela hii haiendi kokote zaidi ya kwenye m pesa yake tu.

3. Baada ya kuzitafuna, amekuwa akikopa pesa ya kuendesha shule kwa riba lkn pesa hiyo huangukia mikononi mwake. Mpaka sasa shule ina madeni makubwa sana.

4. Wazazi wanaojielewa tayari wamehamisha watoto wao, shule iliyokuwa na wanafunzi 800+ sasa ina 400+ na kuna taarifa kuwa makao makuu anapeleka shule ina watoto 380 tu hao wengine ni stahili yake.

Kidato cha nne wamelazimika kuhamia shule nyingine kwa masomo lkn wamesajiliwa Kasulu sec. Hawana ujanja hawa.

Kuna taarifa kuwa mkuu Zahoro ameletwa Kasulu akitokea Tanga na shule aliyokuwa anaongoza, iko hali mbaya ni kama imefungwa sasa amekuja kuua shule yetu wana kasulu.

WITO.
1. Wazazi kuweni makini na watoto mnaowapeleka hapo tapa kwa sasa, wakipata sifuri msiwalaumu. Shule ina hali mbaya. Ni bora kutafta shule nyingine bora zaidi kwa sasa siyo TAPA tena.

2. M/kiti Abdalah Bulembo, huu ushemeji hadi kwenye kazi tafadhali upunguze. Zahoro inasemwa ni shemeji. Tuhuma zote hizo zinazotajwa na zinatishia kufungwa kwa shule, unazijua lkn umeweka pamba masikioni.

3. Viongozi wa ccm wilaya na mkoa, ni bora mjiuzulu nafasi zenu. Wanakasulu wanahujumiwa na wageni, nyie mko kimya, hamfanyi lolote kuokoa watoto waliopo shuleni. Kama shule ikifungwa, itakuwa pigo kwa wilaya na mkoa mzima.

Watu wamefikia hatua ya kuomba magu awe mwenyekiti labda anaweza iokoa hali hii.

Wadau wa elimu Kasulu, iokoeni TAPA Tafadhali
 
Shule hii ya sekondari iliyokongwe katika wilaya ya kasulu, na imeibua wengi sasa meneja wake(headmaster) Zahoro Nkondokaya ameielekeza kibra, na muda wowote itafungwa.

Itafungwa kwa sababu kadhaa:-

1. Headmaster Zahoro halipi mishahara walimu na watumishi wasio waalimu, pesa yoote anakula mwenyewe tu. Hali hii imesababisha walimu kususa kufundisha na wanafunzi hawajifunzi lolote shuleni.

2. Mkuu wa shule kawadanganya wazazi walipe ada kwa simu na wazazi wasio jielewa wamelipa na anawapa receipt. Hela hii haiendi kokote zaidi ya kwenye m pesa yake tu.

3. Baada ya kuzitafuna, amekuwa akikopa pesa ya kuendesha shule kwa riba lkn pesa hiyo huangukia mikononi mwake. Mpaka sasa shule ina madeni makubwa sana.

4. Wazazi wanaojielewa tayari wamehamisha watoto wao, shule iliyokuwa na wanafunzi 800+ sasa ina 400+ na kuna taarifa kuwa makao makuu anapeleka shule ina watoto 380 tu hao wengine ni stahili yake.

Kidato cha nne wamelazimika kuhamia shule nyingine kwa masomo lkn wamesajiliwa Kasulu sec. Hawana ujanja hawa.

Kuna taarifa kuwa mkuu Zahoro ameletwa Kasulu akitokea Tanga na shule aliyokuwa anaongoza, iko hali mbaya ni kama imefungwa sasa amekuja kuua shule yetu wana kasulu.

WITO.
1. Wazazi kuweni makini na watoto mnaowapeleka hapo tapa kwa sasa, wakipata sifuri msiwalaumu. Shule ina hali mbaya. Ni bora kutafta shule nyingine bora zaidi kwa sasa siyo TAPA tena.

2. M/kiti Abdalah Bulembo, huu ushemeji hadi kwenye kazi tafadhali upunguze. Zahoro inasemwa ni shemeji. Tuhuma zote hizo zinazotajwa na zinatishia kufungwa kwa shule, unazijua lkn umeweka pamba masikioni.

3. Viongozi wa ccm wilaya na mkoa, ni bora mjiuzulu nafasi zenu. Wanakasulu wanahujumiwa na wageni, nyie mko kimya, hamfanyi lolote kuokoa watoto waliopo shuleni. Kama shule ikifungwa, itakuwa pigo kwa wilaya na mkoa mzima.

Watu wamefikia hatua ya kuomba magu awe mwenyekiti labda anaweza iokoa hali hii.

Wadau wa elimu Kasulu, iokoeni TAPA Tafadhali
Izo ni ngolane cane
 
Shule hii ya sekondari iliyokongwe katika wilaya ya kasulu, na imeibua wengi sasa meneja wake(headmaster) Zahoro Nkondokaya ameielekeza kibra, na muda wowote itafungwa.

Itafungwa kwa sababu kadhaa:-

1. Headmaster Zahoro halipi mishahara walimu na watumishi wasio waalimu, pesa yoote anakula mwenyewe tu. Hali hii imesababisha walimu kususa kufundisha na wanafunzi hawajifunzi lolote shuleni.

2. Mkuu wa shule kawadanganya wazazi walipe ada kwa simu na wazazi wasio jielewa wamelipa na anawapa receipt. Hela hii haiendi kokote zaidi ya kwenye m pesa yake tu.

3. Baada ya kuzitafuna, amekuwa akikopa pesa ya kuendesha shule kwa riba lkn pesa hiyo huangukia mikononi mwake. Mpaka sasa shule ina madeni makubwa sana.

4. Wazazi wanaojielewa tayari wamehamisha watoto wao, shule iliyokuwa na wanafunzi 800+ sasa ina 400+ na kuna taarifa kuwa makao makuu anapeleka shule ina watoto 380 tu hao wengine ni stahili yake.

Kidato cha nne wamelazimika kuhamia shule nyingine kwa masomo lkn wamesajiliwa Kasulu sec. Hawana ujanja hawa.

Kuna taarifa kuwa mkuu Zahoro ameletwa Kasulu akitokea Tanga na shule aliyokuwa anaongoza, iko hali mbaya ni kama imefungwa sasa amekuja kuua shule yetu wana kasulu.

WITO.
1. Wazazi kuweni makini na watoto mnaowapeleka hapo tapa kwa sasa, wakipata sifuri msiwalaumu. Shule ina hali mbaya. Ni bora kutafta shule nyingine bora zaidi kwa sasa siyo TAPA tena.

2. M/kiti Abdalah Bulembo, huu ushemeji hadi kwenye kazi tafadhali upunguze. Zahoro inasemwa ni shemeji. Tuhuma zote hizo zinazotajwa na zinatishia kufungwa kwa shule, unazijua lkn umeweka pamba masikioni.

3. Viongozi wa ccm wilaya na mkoa, ni bora mjiuzulu nafasi zenu. Wanakasulu wanahujumiwa na wageni, nyie mko kimya, hamfanyi lolote kuokoa watoto waliopo shuleni. Kama shule ikifungwa, itakuwa pigo kwa wilaya na mkoa mzima.

Watu wamefikia hatua ya kuomba magu awe mwenyekiti labda anaweza iokoa hali hii.

Wadau wa elimu Kasulu, iokoeni TAPA Tafadhali
Biashara huria hao wanafunzi wanasubiri nini mbona kasulu kuna shule nyingi za kuwahamishia?
 
Aaa kumbe hiyo shule inamilikiwa na CCM waache tu wazisome hizo namba sifuri.wataajiriwa kuwa wasemaji Wa chama Lumumba.
 
Ila hili nimeliona pia kwenye shule nyingi hasa zile zilizokuwa zinajulikana kama "shule za wazazi". Nyingi zimeanguka vibaya kwa kweli. Ni shule ambazo kwa ukongwe wake zingekuwa imara mno katika nchi hii.kwa sasa ila nyongiozi kadhaa na urafiki wa hapa na pale na viongozi wa chama na serikali umesababisha ziyumbe.
Shule hizi nyingi zilikuwa na miradi mizuri ambayo ingetumika vizuri kwa sasa suala la mishahara na idadi ya wanafunzi lisingekuwa taabu.

Wazazi hujikuta wakiendelea kupeleka watoto wao maana shule hizi kwa sasa haziwezi kuweka ada kubwa mno ukilinganisha na shule nyingine binafsi. Sasa wazazi wanaoangalia ad ndogo kuliko anachopata mtoto ni tatizo jingine.

Wakijielewa mapema, wauze shule tu iendeshwe na wenye nia ya dhati. Vinginevyo wataangukia pua tu.
 
Hivi mzazi na akili yako unampelekaje mtoto wako akasome shule inayomilikiwa na ccm?
Km shule za umma ambazo ccm ndio inashika dola ni hovyo itakuwaje hizi za chama!!!!!
 
Biashara huria hao wanafunzi wanasubiri nini mbona kasulu kuna shule nyingi za kuwahamishia?
Tatizo ni kukosa taarifa za ndani. Na kwa tunaoifaham shule hiyo, suala sio kuhamisha wanafunzi, suala ni kuirejesha katika hadhi yake kama ilivyokuwa.

Shule ile ikifa leo, kuna watakao kosa kibarua na hivyo kuongeza ukosefu wa ajira
 
Aaa kumbe hiyo shule inamilikiwa na CCM waache tu wazisome hizo namba sifuri.wataajiriwa kuwa wasemaji Wa chama Lumumba.
Shule ni ya ccm lkn wanaohudum sio ccm, ni kila mtanzania mwenye sifa
 
Ila hili nimeliona pia kwenye shule nyingi hasa zile zilizokuwa zinajulikana kama "shule za wazazi". Nyingi zimeanguka vibaya kwa kweli. Ni shule ambazo kwa ukongwe wake zingekuwa imara mno katika nchi hii.kwa sasa ila nyongiozi kadhaa na urafiki wa hapa na pale na viongozi wa chama na serikali umesababisha ziyumbe.
Shule hizi nyingi zilikuwa na miradi mizuri ambayo ingetumika vizuri kwa sasa suala la mishahara na idadi ya wanafunzi lisingekuwa taabu.

Wazazi hujikuta wakiendelea kupeleka watoto wao maana shule hizi kwa sasa haziwezi kuweka ada kubwa mno ukilinganisha na shule nyingine binafsi. Sasa wazazi wanaoangalia ad ndogo kuliko anachopata mtoto ni tatizo jingine.

Wakijielewa mapema, wauze shule tu iendeshwe na wenye nia ya dhati. Vinginevyo wataangukia pua tu.
Tangu Abdalah Bulembo aingie, shule nyingi za wazazi zimeanguka. Hata ya bukoba iliyojukuwa na wanafunzi 1,200+ sasa hivi hata 400 haina.
 
Hivi mzazi na akili yako unampelekaje mtoto wako akasome shule inayomilikiwa na ccm?
Km shule za umma ambazo ccm ndio inashika dola ni hovyo itakuwaje hizi za chama!!!!!
Ukawa jengeni shule basi ili mshindane na ccm.

Kwa taarifa yako, kabla ya Bulembo, shule hizi zilikuwa tishio kwa shule binafsi nyingi. M/kiti wazazi ccm amekuja na ma headmaster ambao sio good managers, ila amewatuma kukuaanya hela wagawane tu.

Halafu mtu huyu ndo alikuwa mkuu wa kampeni, sijui shule hizo zitaponaje. Maana kulindana bado kupo tu
 
Hivi hakuna group la wanafunzi tuliosoma hiyo shule tuone tunaweza kuisaidia vipi? Aibu sana hiiii
 
Hivi hakuna group la wanafunzi tuliosoma hiyo shule tuone tunaweza kuisaidia vipi? Aibu sana hiiii
Anzisheni mie sijawahi soma pale lkn tumefanya mengi tu na wana tapa. Mdogo wangu pia amesoma pale na ni ofisa mahali
 
Back
Top Bottom