Shule hii kongwe ipo Dodoma mjini imefungiwa rasmi baada ya kutotimiza vigezo. Akitoa ufafanuzi khsu uamuzi huo naibu waziri wa elimu bw Philipo Mulugo amesema shule haikidhi vigezo kwani inawalimu wawili2 na uongozi wa shule hiyo haueleweki.
Mkuu wa shule ndio manager, ndio mkurugenzi, ndio mwl wa taaluma, ndio mwl wa nidhamu, ndio mwl wa zamu,ndio mhasibu, na ndio mwl wa darasa. Ukipita shuleni hapo na kujitambulisha kuwa ww ni mwl unapewa kipindi ukimaliza unalipwa na mkataba umeisha.
Sababu hizo zimefanya naibu waziri kuifunga shule hiyo kwa muda usiojulikana.
Mkuu wa shule ndio manager, ndio mkurugenzi, ndio mwl wa taaluma, ndio mwl wa nidhamu, ndio mwl wa zamu,ndio mhasibu, na ndio mwl wa darasa. Ukipita shuleni hapo na kujitambulisha kuwa ww ni mwl unapewa kipindi ukimaliza unalipwa na mkataba umeisha.
Sababu hizo zimefanya naibu waziri kuifunga shule hiyo kwa muda usiojulikana.