Shule moja mkoani Mbeya, katika wilaya chunya jina linahifadhiwa kapuni (xxxx) imelazimika kufungwa ghafla kwa kuwa choo kimejaa na wanakijiji wamegoma kuchimba choo kingine. Kwa hali hiyo sijui jukumu la kuchimba choo ni la serikali au ni wanakijiji husika, naombeni majibu ndugu zangu