Northman
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 1,587
- 2,511
..hiyo ya maji kumwagika naikumbuka kabisa, hawa watu akili zao huwa wanazijua wenyeweUnakumbuka kile kisanga kule bariadi Simiyu mwaka jana? Tena nakumbuka mpk ter 7-jun-2018, Eti gari ya zima moto imefika tu eneo la tukiooo ikaanguka maji yote yakamwagika, wananchi wakaaza kuchota maji kuzima wenyewe huku gari Imekaa pembeni ina starehe ma dereva wake. Hahhaaa lile tukio lilinifanya nielewe kwa nn Bongo michezo ya bahati na sibu inategemewa ktk pato la taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app