Panakuwaga na fire extinguishers nyingi sana shuleni.
Moto ulichelewa kuwa detected au ilikuwa sudden explosion?
Probably. Fire inawezekana wanakagua uwepo wa hizo extinguishers ila hawakagui uwepo wa ujuzi wa kuzitumia. Na zinapowekwa hamna instructions pia.Inawezekana kabisa wengi hawajui namna ya kuzitumia.
Watu hawajui hata kuzitumia, huwa zinawekwa kama mapambo tu.Panakuwaga na fire extinguishers nyingi sana shuleni.
Moto ulichelewa kuwa detected au ilikuwa sudden explosion?
Ni kweli, mara nyingi watu wanaweka fire extinguishers ili kukwepa fines, ila kuztumia hawajui.Inawezekana kabisa wengi hawajui namna ya kuzitumia.
Vipi mkuu zima moto wamefika? Au wamefika na gari bila maji maana huwa siwaamini kabisa.