Saana mpaka leo sichoki Kusoma Harry Potter!Waniletee mimi,
Ukisoma harry porter ina maneno yanayopotrait kilichoandikwa,
Yapo very powerful to create imaginations
Kwani mapadre wanashindwaje? Kutoa mapepo.
Mitaani wakarismatiki tunaishi nao wanatoa mapepo Sana tu na sio mapadri
padri anatoa pepo toka lini ????????
Hata mimi naona hakuna haja ya vitabu hivyo kuwa shuleni humo st edward Harr Porter is realWanipe mimi navyopenda kuroga hivyo mtahama humu