Shule ya J.M. Kikwete yashusha hadhi ya jila la Rais wetu

Andindile

JF-Expert Member
Mar 18, 2009
304
16
Jina la Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania Dr., mheshimiwa rais Jakaya Mrisho Kikwete limeshushwa hadhi na matokeo ya kidato cha nne ya shule ya Sekondari ya J.M. Kikwete iliyopo wilayani Mbozi nje kidogo ya mji mdogo wa Tunduma . Shule hiyo ambayo imepewa heshima ya pekee ya kutumia jina la Kikwete imefanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni hata kufanya jina la J.M. Kikwete likose heshima inayostahili. Nimeambatanisha matokeo ya shule husika. Kwa nini jambo kama hili liruhusiwe kutokea? Hivi rais anataarifa kuwa kuna shule inatumia jina lake? Kama taarifa anazo, amefanya jitihada gani kuhakikisha kuwa wanafunzi na walimu wa shule hiyo wanalitangaza jina lake vizuri kwa kufanya vyema kwenye matokeo ya kitaifa?
 

Attachments

  • Kikwete.doc
    296 KB · Views: 156
........daah yaani mbali na kufeli kote huko, yet hii shule bado siyo ya mwisho? hizo za huko mwishoni, watoto wote wamepata sifuri nini?
 
Jina la Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania Dr., mheshimiwa rais Jakaya Mrisho Kikwete limeshushwa hadhi na matokeo ya kidato cha nne ya shule ya Sekondari ya J.M. Kikwete iliyopo wilayani Mbozi nje kidogo ya mji mdogo wa Tunduma . Shule hiyo ambayo imepewa heshima ya pekee ya kutumia jina la Kikwete imefanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni hata kufanya jina la J.M. Kikwete likose heshima inayostahili. Nimeambatanisha matokeo ya shule husika. Kwa nini jambo kama hili liruhusiwe kutokea? Hivi rais anataarifa kuwa kuna shule inatumia jina lake? Kama taarifa anazo, amefanya jitihada gani kuhakikisha kuwa wanafunzi na walimu wa shule hiyo wanalitangaza jina lake vizuri kwa kufanya vyema kwenye matokeo ya kitaifa?

Hii shule haijashusha hadhi yoyote kama mwandishi anavyotaka kutueleza inaonyesha jinsi ambavyo uwezo wa mweneyekiti wa Chama Cha Majambazi ulipofikia, Zero. Si mnaona jinsi anavyoendesha shughuli za urais ni sawa kabisa na matokeo hayo.
 
Hawa viongozi wetu wa sasa wananishangaza sana, wanataka kila mahali waache majina. Wawe wanaangalia wenzetu huko nje nishule chache sana zinapewa majina ya watu. Labda kama alijenga kwa nguvu zake, lakini si kwa kodi ya walala hoi afu unajipachika jina lako.

Shame on them!
 
Jina la Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania Dr., mheshimiwa rais Jakaya Mrisho Kikwete limeshushwa hadhi na matokeo ya kidato cha nne ya shule ya Sekondari ya J.M. Kikwete iliyopo wilayani Mbozi nje kidogo ya mji mdogo wa Tunduma . Shule hiyo ambayo imepewa heshima ya pekee ya kutumia jina la Kikwete imefanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni hata kufanya jina la J.M. Kikwete likose heshima inayostahili. Nimeambatanisha matokeo ya shule husika. Kwa nini jambo kama hili liruhusiwe kutokea? Hivi rais anataarifa kuwa kuna shule inatumia jina lake? Kama taarifa anazo, amefanya jitihada gani kuhakikisha kuwa wanafunzi na walimu wa shule hiyo wanalitangaza jina lake vizuri kwa kufanya vyema kwenye matokeo ya kitaifa?

Nani kamponza mwenziwe Shule au Jina la shule? Unaamini juu ya bahati na nuksi, kama huamini mpe mtoto wako jina la Kazi bure au Hayawani halafu uone.

Chunguza maana ya majina ya shule zinazoongoza kwa kufaulu. Halafu angalia shule zinazofelisha.

Hebu angalieni ka-centre kanajiita London Secondary School, yaani ni Zero mpaka waalimu na wao mtihani huu wana zero. Zero tu. ZEEEEEROOOOOOOO!!!!!!!!!
 
Hivi ni nani alie ipa Jina hilo la kiongozi wa juu wa nchi hii !!! Ndio yale yale jasho la walala litumike, then yeye aje na Msafara wa mashangingi unaotuma gharama za haohao walala hoi aje kuifungua shule na kukubali shule ibatizwe jina lake. Hapo alipo wala hajui kinachoendele mweeee !!!! na ajue ili nini wakati hata senti ajachangia !!!!
 
Nani kamponza mwenziwe Shule au Jina la shule? Unaamini juu ya bahati na nuksi, kama huamini mpe mtoto wako jina la Kazi bure au Hayawani halafu uone.

Chunguza maana ya majina ya shule zinazoongoza kwa kufaulu. Halafu angalia shule zinazofelisha.

Hebu angalieni ka-centre kanajiita London Secondary School, yaani ni Zero mpaka waalimu na wao mtihani huu wana zero. Zero tu. ZEEEEEROOOOOOOO!!!!!!!!!

Hahahahaah! Aisee umenichekesha sana!
 
Haina maana kabisa, hiyo shule ibadilishwe jina, vinginevyo ni kudhalilishana tena kwa kiwango cha juu sana.Sijafurahishwa kabisa na hayo matokeo hata kidogo.
 
Back
Top Bottom