Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Ni kina nani hao? kwenye lugha adhimu ya kiswahili hatuna matumizi ya herufi Q.Unawajua istiqaama au unawasikia!!.. hizi ni hujuma
Na unaweza kuthibitisha kuwa hizi ni hujuma? na zinafanyika ili iweje? Ni kipi ambacho ni cha maana kipo kwenye hizo shule?
Ni maswali ya kawaida ila yanaweza kutusaidia kupata majawabu