Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Waheshimiwa wadau wenza, hakuna ubishi kwamba waliokwenda Shule , upeo wao wa kimaono, fikra na uelewa hawako sawa na wale ambao hawakujaaliwa kupata fursa hiyo. Moja kubwa la faida lipatikanalo shuleni ni la kuondokana na kuamini SUPERSTITIOUS, MIRACLES au NGUVU ZA GIZA.
Ni vigumu sana kumconsult mzazi (msomi) aliefiwa na mwanae na akamzika, thn few days later akatokea mganga na kumwambia mwanae hajafa reality bali kachukuliwa msukule, hatokuelewa.
Jana 10 June 2012 kenya walikua wakiadhimisha mwaka wa pili tangia last state chopper kuanguka, Helcopter iliokua imebeba waziri Kipkalia Kones, na Naibu waziri Lorna Laboso.
Jana hiyohiyo 10th June (samedate, samemonth, sametime)
Helcopter nyingine ikiwa imebeba vilevile Waziri George Saitoti, na Naibu Waziri Joshwa Ojude ikaanguka na kuuwa all passenger on board.
NA ENEO ILIPOANGUKIA NI LILELILE LA NGONG HILLS.
My fellow Jf member wewe unaesoma hii Thrade ikukute mwakani serikali ya Tanzania imeku'nominee wewe ukafanye shughuli maalum Kenya na iwe 10th may na ikakulazimu upande chopper utapanda ?
Na uelekeo ni uleule wa kupita Ngong Hills ?
Je? Hili neno liitwalo NUKSI kwa kua halitambuliki kisayansi, bt kifizikia tunakutana nalo, tuliweke eneo gani?
Nawasilisha.
Ni vigumu sana kumconsult mzazi (msomi) aliefiwa na mwanae na akamzika, thn few days later akatokea mganga na kumwambia mwanae hajafa reality bali kachukuliwa msukule, hatokuelewa.
Jana 10 June 2012 kenya walikua wakiadhimisha mwaka wa pili tangia last state chopper kuanguka, Helcopter iliokua imebeba waziri Kipkalia Kones, na Naibu waziri Lorna Laboso.
Jana hiyohiyo 10th June (samedate, samemonth, sametime)
Helcopter nyingine ikiwa imebeba vilevile Waziri George Saitoti, na Naibu Waziri Joshwa Ojude ikaanguka na kuuwa all passenger on board.
NA ENEO ILIPOANGUKIA NI LILELILE LA NGONG HILLS.
My fellow Jf member wewe unaesoma hii Thrade ikukute mwakani serikali ya Tanzania imeku'nominee wewe ukafanye shughuli maalum Kenya na iwe 10th may na ikakulazimu upande chopper utapanda ?
Na uelekeo ni uleule wa kupita Ngong Hills ?
Je? Hili neno liitwalo NUKSI kwa kua halitambuliki kisayansi, bt kifizikia tunakutana nalo, tuliweke eneo gani?
Nawasilisha.