Hii ni aibu kubwa sana wakati viongozi wakiendelea kuiba mabilioni ya wananchi hali imeendelea kuwa mbaya sana kwenye sekta ya elimu hivi wao hawaioni hii aibu kubwa kiasi hiki viongozi badilikeni kawambwa unasubiri nini kuwajibika! Huu ndio upuuzi wa serikali ya ccm.