Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,440
- 25,582
Miaka 52 ya Uhuru...CCM ni laana kwacTaifa hili..
Kwaidadi yao ya wanafunzi 12 ni sawa kabisa.
samahani,mi nauliza tu,hao wananchi wanaoishi eneo hilo (jimbo la uchaguzi) wana mwakilishi bungeni?
Ukitaka kupata taswira ya Tanzania ya kesho njoo JF, kwa hali ya shule ilivyo, idadi ya madarasa, idadi ya wanafunzi, idadi ya walimu hata kama tunatofautiana uwezo wa kufikiri sikutegemea mtu akakurupuka na pongezi kwa mwalimu, angalau hata ungeuliza hivi shule hii imesajiliwa kweli? Kwa uchangiaji huu tutafika kweli?Mwalimu huyo apewe zawadi kubwa kwa kazi nzuri
Teh teh teh teh,hapa lazima ulifanyika upanuzi wa goli,lakini si haba si walifunga magoli?Wamewezeshwa wakaweza.....
Nina imanI kati ya wanafunzi waoliofaulu 50% wamepitishwa tu, rejea matekeo ya mwanafunzi alifaulu wakati hakufanya mtihani.....haya matokeo yapo kisiasa zaidi kuliko utalaamu.!!