teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
Mambo vipi wadau
Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kufahamishwa shule inayotoa malezi na elimu nzuri kwa watoto hapa Arusha ambayo angalau nitaweza afford kulingana na kipato changu
Ieleweke hapa kwamba nimelenga shule za kutwa au za kutwa na bweni na ikiwezekana weka na gharama nijipange january nimpeleke dogo akaanze naye safari yake ya kufuta ujinga
Natanguliza shukrani wadau. Asanteni sana
Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kufahamishwa shule inayotoa malezi na elimu nzuri kwa watoto hapa Arusha ambayo angalau nitaweza afford kulingana na kipato changu
Ieleweke hapa kwamba nimelenga shule za kutwa au za kutwa na bweni na ikiwezekana weka na gharama nijipange january nimpeleke dogo akaanze naye safari yake ya kufuta ujinga
Natanguliza shukrani wadau. Asanteni sana