beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kutokana na ongezeko la maambukizi Nchini humo, Shule zinatarajiwa kufungwa kwa angalau siku 15 kuanzia leo Januari 18, ikiwa ni harakati za kudhibiti mlipuko
Katika hotuba yake kwa Taifa, Rais Lazarus Chakwera ametangaza kuwa, wananchi hawatakiwi kutoka nje kuanzia saa tatu usiku na mikusanyiko yote inatakiwa kuhusisha watu wasiozidi 50
Aidha, Serikali inatenga kiasi cha Dola za Marekani Milioni 2 zitakazotumika kuajiri Watumishi zaidi katika Sekta ya Afya na kununua mahitaji mengine muhimu ikiwemo mitungi ya Oxygen
=====
Schools in Malawi will close for at least 15 days from Monday under new restrictions to combat a surge in coronavirus cases.
In a televised address, President Lazarus Chakwera also announced a night-time curfew from 21:00 local time.
All gatherings will be restricted to no more than 50 people.
Malawi is observing a period of national mourning following the deaths of two senior cabinet ministers from Covid-19.
A third of Malawi's 300 coronavirus deaths have taken place this month.
The president said the government was allocating a further $2m (£1.4m) to provide healthcare staff and equipment.
Katika hotuba yake kwa Taifa, Rais Lazarus Chakwera ametangaza kuwa, wananchi hawatakiwi kutoka nje kuanzia saa tatu usiku na mikusanyiko yote inatakiwa kuhusisha watu wasiozidi 50
Aidha, Serikali inatenga kiasi cha Dola za Marekani Milioni 2 zitakazotumika kuajiri Watumishi zaidi katika Sekta ya Afya na kununua mahitaji mengine muhimu ikiwemo mitungi ya Oxygen
=====
Schools in Malawi will close for at least 15 days from Monday under new restrictions to combat a surge in coronavirus cases.
In a televised address, President Lazarus Chakwera also announced a night-time curfew from 21:00 local time.
All gatherings will be restricted to no more than 50 people.
Malawi is observing a period of national mourning following the deaths of two senior cabinet ministers from Covid-19.
A third of Malawi's 300 coronavirus deaths have taken place this month.
The president said the government was allocating a further $2m (£1.4m) to provide healthcare staff and equipment.