Shule kumi ghali Tanzania

Haven of Peace ni shule yenye maadili mazuri. Ada yake ni almost 11k usd , nje ya school bus, ukijipanga mtoto anasoma na anapata elimu bora, shida watanzania wengi tuna mipango ya muda mfupi, mtoto mpaka anaanza shule hujamfungulia bank akaunti,
 
Usilaumu Watanzania. Kipato hakiruhusu. Wanaolipwa milioni ya TZS kwa mwezi hata siyo wengi. Sasa hata ingekuwa (USD4,000) milioni 10 utaifikisha vipi?
Haven of Peace ni shule yenye maadili mazuri. Ada yake ni almost 11k usd , nje ya school bus, ukijipanga mtoto anasoma na anapata elimu bora, shida watanzania wengi tuna mipango ya muda mfupi, mtoto mpaka anaanza shule hujamfungulia bank akaunti,
 
IST ni shule kwa ajili ya mabalozi na waajiriwa wa kimataifa kwao hao ni hela ndogo sana.
Wapo watanzania, kina Mo, kina Mengi, wakurugenzi mbalimbali hata wakulima watoto wao wanasoma hapo, kupanga ni kuchagua,😅, tena wana streams kama 4 pale elementary kama Tu kayumba. La Kwa na za A, B, C,D Ila wao wameita majina tofauti, mengine wanyama.
 
Asante Sana Dj haya tuletee
St Kayumba stejini watuburudishe na kibao mwanana Cha Elimu bureeee!
The following are saint Kayumba sec schools:
1. Chikwengula sec school
2. Diukizula sec school
3. Ikungulyabashashi sec
4. Itabalyambiti sec school
5. Kang'ambwa sec school
6. Lupwipwi sec school
7. Sesekala sec school
8. Ng'hubujilo sec school
9. Dyasungila sec school
10. Zisodyabau sec school
Kwa leo niishie hapo ukitaka maelezo zaidi keep in touch with me through mvuhi@yafuduche.chihuwahuwa
 
Hivi mtoto anayesoma hizi shule anaweza kuja kufanya kazi ya utendaji huku kwetu Nanjilinji...?
Huwa hawewezi mwisho huingia kwenye hizi international NGOs au wanajiajiri kwa mambo ya modelling and fashion, na pia wengi ni mapunga hilo halina ubishi. Wanajifunza kutokana na maadili ya kizungu ya liberalism kwamba kila mtu ana uhuru wa maisha yake binafsi na na uhuru wa mwili wake kwamba anaweza kuufanya atakavyo.
 
Jamaa wa JF wananiambia Ni wivu unanisumbua nitafute hela ili niache kuonea wivu watoto wa kishua waliopelekwa huko kwny International schools.
Hoja yko ina mashiko kabisa ww toto toka limezaliwa lipo ndan ya ac class ac school bus ac weeh afu mfumo wao ni wa ulaya ukute humo class yanafundishwa ushoga ni kitu cha kawaida lzma litoke pungq umo
 
Nimegundua wale matajiri wa JF wengi ni new money with limited rich level ya Passo...hamuwezi kushangaa ada za shule zilizopo katika nchi maskini mkienda oxford kwenyewe sasa ada zinatosha kufungua kiwanda Africa
 
The following are saint Kayumba sec schools:
1. Chikwengula sec school
2. Diukizula sec school
3. Ikungulyabashashi sec
4. Itabalyambiti sec school
5. Kang'ambwa sec school
6. Lupwipwi sec school
7. Sesekala sec school
8. Ng'hubujilo sec school
9. Dyasungila sec school
10. Zisodyabau sec school
Kwa leo niishie hapo ukitaka maelezo zaidi keep in touch with me through mvuhi@yafuduche.chihuwahuwa
hahahahahaha wewe jamaa ujue Nimecheka kama mazuri vile Hizo St kayumba za kanda Ileeeeeeee
Hiiiiii bha ghoshaaaaa!
😂😂😂😂😂😂
 
Nimegundua wale matajiri wa JF wengi ni new money with limited rich level ya Passo...hamuwezi kushangaa ada za shule zilizopo katika nchi maskini mkienda oxford kwenyewe sasa ada zinatosha kufungua kiwanda Africa
JF wengi ni janja janja tu utasikia tafuta hela.
 
Haven of Peace ni shule yenye maadili mazuri. Ada yake ni almost 11k usd , nje ya school bus, ukijipanga mtoto anasoma na anapata elimu bora, shida watanzania wengi tuna mipango ya muda mfupi, mtoto mpaka anaanza shule hujamfungulia bank akaunti,
Sijajua umetokea familia ipi, ila hizi familia zetu ni ngumu aka toka ututoe au butua uwa okoe wenzio.
 
Nimegundua wale matajiri wa JF wengi ni new money with limited rich level ya Passo...hamuwezi kushangaa ada za shule zilizopo katika nchi maskini mkienda oxford kwenyewe sasa ada zinatosha kufungua kiwanda Africa
Na wapo madon Bongo, wanapeleka watoto hapo hapo Oxford badala ya kufungua KIWANDA!😂
 
Wakati tukiwa level ya primary nilikuwaga na machalii zangu wao walikuwa wanasoma Sombetini Primary School tukikutanaga wakawa wananiambia wamesoma kitabu cha kiswahili kuna mashairi sijui yanaitwa "kama mnataka mali mtaipata shambani" kwani huko Kigoma shule zao hazikufundisha?😂😂
We ngombe si ulisoma sombetini wewe? Tena dawati la nyuma kuleee kwa akina edii?
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom