Shule kumi ghali Tanzania

Ha ha ha hao Marais wakati wanasoma hizo shule hazikuwepo. Hata mimi wakati nasoma hizi English medium hazikuwepo ilikuwepo IST tu. Shule Bora zilikuwa za serikali,private zilikuwa Kwa ajili ya waliofeli.

Ni Sawa nakubaliana na wewe hazikuwa lakini maisha yana Siri kubwa sana mkuu!!! Mungu niwaajabu sana sometimes.... Matajiri hata izi shule hawajasoma lakini ndo wanawapeleka watoto huko kusom nikuondoa ujinga tu kichwani lakini kama unataka mtoto awe na Mali mfundishe kutafuta pesa tangu mdogo asikae kae om kama una biashara nenda nae ajifunze huko!!!! Na ako kaelimu kake atakakopata maisha hayawezi kumshinda
 
Ha ha ha hao Marais wakati wanasoma hizo shule hazikuwepo. Hata mimi wakati nasoma hizi English medium hazikuwepo ilikuwepo IST tu. Shule Bora zilikuwa za serikali,private zilikuwa Kwa ajili ya waliofeli.

Sometimes hawa watoto inaweza kuwa wastage morning investment..... ni bora nikipe ada y kawaida niwekeze kwa faida yao, na iyo milioni 70 anakuja kuirudisha vipi?
 
Ni Sawa nakubaliana na wewe hazikuwa lakini maisha yana Siri kubwa sana mkuu!!! Mungu niwaajabu sana sometimes.... Matajiri hata izi shule hawajasoma lakini ndo wanawapeleka watoto huko kusom nikuondoa ujinga tu kichwani lakini kama unataka mtoto awe na Mali mfundishe kutafuta pesa tangu mdogo asikae kae om kama una biashara nenda nae ajifunze huko!!!! Na ako kaelimu kake atakakopata maisha hayawezi kumshinda
Wanawapeleka kwenye shule bora money can pay! Huwezi kuwa bilionea ukamsomesha mtoto shule za ajabu ajabu. Hela za nini sasa kama sio kukupatia wewe na familia yako maisha bora? Maisha bora ni pamoja na elimu bora. Wahindi tunasema wanawafundisha watoto biashara tangu utotoni, unajua wanawasomesha shule gani? Best schools.
 
Sometimes hawa watoto inaweza kuwa wastage morning investment..... ni bora nikipe ada y kawaida niwekeze kwa faida yao, na iyo milioni 70 anakuja kuirudisha vipi?
Duh mkuu....tangu uzaliwe wazazi wako wametumia gharama kiasi gani hadi ulipofika? Unairudisha vipi? Kusomesha wanao ni wajibu wako bila kutegemea urudishe faida.
 
Ukifika huo wakati hutakuwa na mawazo haya. Na kuna uwezekano mambo ya ada na vitu kama hivyo wala utakuwa huangaiki navyo,kuna watu watafanya hio kazi.

Labda sio mimi masire! Mkuu niamini silipi hao watakao lipa lazima taarifa ije kwangu na nitakuwa na maswali magumu wakinijibu wakalipe! Mkuu unaamini uko mambele Hakuna shida ya ajira? Na izi shule za hapa ni nzuri kuliko zilizopo huko kwao?
 
Duh mkuu....tangu uzaliwe wazazi wako wametumia gharama kiasi gani hadi ulipofika? Unairudisha vipi? Kusomesha wanao ni wajibu wako bila kutegemea urudishe faida.

Duuuh niwe mkweli hamna ata ela walotumia zaid ya izi chenji chenji yani nimesoma kayumba kabisa!!! Lakini now ndo kijana tegemezi kwa maana yakuwaangalia wao kama wazazi na hawa wadogo zangu pia!!!! Kwaiyo malipo kwa wazazi ni kuja kuwasaidia pale watakuwa na uwitaji..... Sasa nilipe karibu 1bn ili asome Alafu anamaliza izo mashule na anza kuwaza connection ya ajira yake aya nimepata mshahara milioni 6 iyo b niliyokusomesha itarudi leo? Ni bora niwanunulie ardhi niwajengee manyumba maana Najua miaka 30 ijayo hata iyo ardhi hawataweza kununua
 
Kama pesa inaruhusu peleka watoto shule hizi itawasaidia mbeleni kutengeneza connection ya watoto wa matajiri wanasiasa na wenye maamuzi katika nchi hii itawasaidia kupata michongo ya life mbeleni.
Ni nadra Sana kwa classmate kutupata ni kama undugu tayari mkikumbukia ujana mfano disco,vibuti,vibomu,nk.
Kweli hapo ni connection tosha ila mpaka mzazi kufikia hatua ya kumpeleka mtoto basi mtoto na familia husika inajiweza haitegemei connection tu.
 
nikiwa advance kuna sehemu nilikua nafanya part time job sasa boss wa pale mama mmoja hivi mzuriii alikua na watoto wake wawili na wote walikua wanasoma IST imagine, kuna kipindi nakumbuka alikua anaumwa jino akaenda zake Cape Town kutibiwa.. watu wana hela jamani..
Yaani watu wanamipunga Sijui Bill Lugano anasomesha watoto wangapi hapo
 
Lakini hawa waliosoma kwenye haya mashule hatuwaoni kwenye Mataasisi ya kiserikali na makampuni makubwa tunakutana sisi Kayumba huwa wanaenda wapi
Wengine huishia nje au kama wapo humu wengine ni ngumu kuwafahamu.
 
Hapo bado tours za safu ya milima ya himalaya,na fukwe za maldives kuangalia waves features mbalimbali za fukwe,Gharama za kwenda hiroshima na nagasaki kushuhudia madhara ya Nuclear.Hawajaenda bdo siberia na ontario Canada ambako watapitia Arizona kuangalia baadhi ya vitu vya kijiografia na mwisho waende Amazoni kujifunza mambo mbali mbali ya kijamii na hasa kujifunza namna ambavyo msitu wa amazoni unavyobeba uhai wa viumbe duniani,halafu watatulia copa cabana kwenye tamasha la kimataifa kwa wanafunzi wenzao kutakuwa na mashindano mbali mbali katika viwanja vya maracana katikati ya jiji la rio de Janeiro Mzazi atachanga $40k...Hela hela,pesaaaa
Wakati wengine tukiambiwa watoto wanaenda study tour wilaya ya jirani kwa gharama ya shilingi 20k ya kitanzania kwenda rudi tunafel kuafford
 
Ndio matumizi ya pesa
Wewe ni muelewa, hayo ndiyo matumizi ya pesa, wenye nazo, walishanunua majumba, magari, mashamba, matrekta, mahotel, wapo wazazi diplomats, investors, pesa siyo ya mawazo, wanalipwa na kulipwa,

Na hayo ndiyo matumizi yao ya pesa, hawawazi sijui mil71 hii, nanunua IST 7, Nafanya bolt, hapana hiyo hela ni Ada full stop!:)
 
Kwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa naye

Msitujengee ujinga vichwani ilihali uhalisia tunaujua

Mtoto aliyesoma Shule ya million 71 chuo anaenda kusoma Cambridge au havard.
Akija bongo ataajiriwa BOT, deep state, wakurugenzi wa taasisi za serikali kama TBS,TCRA, vitengo nyeti vya vodacom,tigototal,gsm.
Babra CEO wa simba ni product ya IST.

Nje ndo wana soko la ajira kuliko hata bongo... Akituma CV UN KAAJIRIWA TAYARI. Mashirika ya kimataifa yote ana uwezo wa kuajiriwa.

Sasa sisi wa elimu bure hakuna sehem twaweza kwenda.
 
Back
Top Bottom