nataka kumpeleka binti yangu shule mojawapo kati ya hizo, amefanya interview na kufaulu zote, sasa sijui kwa maoni yenu wanajamvi ipi nzuri kwa future yake?
So unataka ampeleke Saint Kata!Kwani kata unayoisha mzazi haina shule ! :blabla:
So unataka ampeleke Saint Kata!
nataka kumpeleka binti yangu shule mojawapo kati ya hizo, amefanya interview na kufaulu zote, sasa sijui kwa maoni yenu wanajamvi ipi nzuri kwa future yake?
Wats up wit marian bagamoyo??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nataka kumpeleka binti yangu shule mojawapo kati ya hizo, amefanya interview na kufaulu zote, sasa sijui kwa maoni yenu wanajamvi ipi nzuri kwa future yake?
issue ni kwamba hizi shule ainazoanza unashindwa kukadiria trend ya matokeo..coz akiingia next year anafanya mtihani after 4 years, watakuwa bado kwenye form?Nakushauri mpeleke Precious Blood, mwaka jana ilifanya mtihani wa Form kwa mara ya kwanza na ilifanya viruri