Security Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 299
- 387
Hata tubaki wawili haya maandamano tutaandamana tu. Sambusa kavu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mmoja au wawili ni waliokuwa wanachaguliwa ila waliokuwa wanafaulu walikuwa wengi na shule zilikuwa chache sana.Zaman watu walkuwa hawasomi.
Kama tu darasa la saba mtu alikuwa anafaulu mmoja au wawil
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wa shule za kata wanaajirika sasa?.kwa ufaulu upi?.
Hao watoto wanasoma katika mazingira ya kitawa usisahau hilo kwanza, na wale masista magoa ni very strict wanawafatilia mpaka tabia zao, Akili hazijawa polluted! Mitoto mingine akili imejaa insta, tamthilia, wasafi, fiesta, mapenzi,selfie n.k shule haina pa kukaa inabaki vitabuni tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mimi
Sema nikusikie...Hujui usemalo wewe....
Hivi wizi wa mitihani hauwezi kuwa chanzo cha ufaulu mzuri?
umetoka maeneo ambayo watu wanafeli sana ndiyomaana unaona utata.
Shule ya sekondary Kemebos.
Haya matokeo sio ya kawaida.
View attachment 1318232
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huna uhakika na usemalo. Kemebos f6 mwaka jana imekuwa ya 10 kitaifa. Haijawahi kufungiwa. Noamba usiandike jambo usilolijua. Jf ina watu wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mtoto wa kikwete alipata division Zero au Four kama sikosei hapo hapo Feza. Unalizungumziaje na hilo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikuulize zamani ni kuanzia miaka ipi?Zaman watu walkuwa hawasomi.
Kama tu darasa la saba mtu alikuwa anafaulu mmoja au wawil
Sent using Jamii Forums mobile app