Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Kwa walioona taarifa ya habari ya juzi mtasikitika kuona serikali yetu ilivyo na hela inavyoweza kuleta wabrazil kwa billion tatu huku watoto wa shule ya muheza huko tanga wakiwa na huzuni kubwa wakiombna wazazi na seikali kuwasadia kupata viatu kwa bei nafuu
hakika niliumia sana pale mtoto mmoja tu alipoonyeshwa nduie mwenye kiau kati ya 250 na huku wawili wakininginza yebo yebo zao...so sad..anyway waziri wa elimu embu wasaidieni
wale watoto miguu yao ilikuwa ikionyeshwa tbc kwa chini kama mamba ukiangalia mabaka baka yanavyorindima..ukiwa kama mzazi tunaitaji hata msaada wa maombi kwa mungu ...awasaide,,hivi wewe makamba unajitapa kabisa mtoto wako akagombee ubunge wakati watu wanakosa hata viatu jamani loh???shame on them
mh waziri husika msaada unaitajika kwa hawa watoto jamani/./nao ni binadamu
hakika niliumia sana pale mtoto mmoja tu alipoonyeshwa nduie mwenye kiau kati ya 250 na huku wawili wakininginza yebo yebo zao...so sad..anyway waziri wa elimu embu wasaidieni
wale watoto miguu yao ilikuwa ikionyeshwa tbc kwa chini kama mamba ukiangalia mabaka baka yanavyorindima..ukiwa kama mzazi tunaitaji hata msaada wa maombi kwa mungu ...awasaide,,hivi wewe makamba unajitapa kabisa mtoto wako akagombee ubunge wakati watu wanakosa hata viatu jamani loh???shame on them
mh waziri husika msaada unaitajika kwa hawa watoto jamani/./nao ni binadamu