Shule Binafsi ziheshimu likizo za watoto wetu

Kama wewe ni mzazi na umepleka mwanao shula na unakuja hapa kulalamika basi kuna shida mahali tena kubwa sana................. halafu wewe ni wale hamna elimu mmepata pesa mnafuata mkumbo wa kuwapeleka watoto shule sio mbaya lakini ukafuata kinachofanywa sio uwe na hisia tuu wewe lazima Elimu uako iko chini sana tuu
Hivi wwe unajuwa maana ya Jamii forum,humu ndiyo ujumbe unawafikia kirahisi hao walengwa,hata Hayati Magufuli habari nyingi alikua anazipata humu,Mama nae anapitaga humu pia,na kwenye hii maada mi naona tutakaa sana utakuja kuniambia siku moja!! Hapa ni Walimu na Wazazi wa Tanzania wanabadilishana mawazo kuhusu Elimu ya Watoto wao,tunataka kila mtu ajenge hoja yake na si kususiana!! Asante!!
 
Yaani unasaidiwa kumfanya mwanao asipoteze content alizojifunza unalalamika Tena?
Halalamiki,anaona kama mnamuover load Mtoto,Sasa tunamsaidiaje Mtoto wote wawili!? Wwe Kama Mwalimu na yeye Kama mzazi!?
 
Hizo shule zinafanya biashara kama Mpemba anavyouza samaki zake pale kwenye kona
 
Hiyo shule anayosoma mwanao huwa hamna vikao vya wazazi??

Kama mnavyo huwa mnajadili nini kuhusiana na taaluma za wanenu??
Siyo kila Mtu anaweza kuongea kwenye kadamnasi, wengine ni wazuri sana kwenye uwaandishi!!
 
unataka kuniambia hujui wapi unataka mwanao awepo????...sio zote mkuu...kwanza elewa shule binafsi ni biashara (service business), so wewe ujivike ualimu,, mwanangu ni lazima awepo likizo nyumbani......mtake msitake.............watakuelewa....
Ila ndiyo watakununia,wataweza hata kukuulia Mtoto, maana wanakuona Kama utwaamusha walio lala,usipende kucheza na biashara za watu, people got family to feed!!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ila ndiyo watakununia,wataweza hata kukuulia Mtoto, maana wanakuona Kama utwaamusha walio lala,usipende kucheza na biashara za watu, people got family to feed!!
so tufanyaje sasa...maana kila mzazi analalamika...tuendelee kuwaogopa tukijua wanatunyonya na kudumaza haki ya mtoto kucheza na kupumzika??solution inatakiwa.....
 
Sikiliza wewe mtoto kama hana akili hana tu, hata asome Tuition hizo masaa 24 ni hana tu,

Kwani kufeli kunaanza sasa? Zamani ilikuwaje?
Kuna shule moja ya Dini wakiwa na Watoto wa aina hiyo ambao hata ufundishe vp hawaelewi,basi waanaachana na masomo wanaanza kuingia kwenye maombi,hadi Wanafunzi hao nao wanaanza kuelewa!!
 
Hata shule za serikali,kuanzia msingi mpaka sekondari wanakwenda Kila likizo,hasa madarasa ya
4na 7 kwa msingi na
Kidato Cha 2 na 4 kwa sekondari,kwa hiyo suala la kutokuheshimu likizo,linaanzia serikalini.
Maafisa elimu mikoa na wilaya ndio wanawaagiza waratibu kwamba madarasa ya mitihani watoto waendelee kusoma wakati wa likizo.
 
Huu utaratibu inabidi ubadilishwe. Wewe kama mzazi unaweza kumkingia kifua mwanao asifanye hizo kazi. Ila kuna shule zinakuwa na sauti maana wana watu wengi pending wanasubiria nafasi. Katika hali kama hiyo itabidi uweze kupata support ya wazazi wenzio au ya serikali.
 
Kwa macho ya kawaida privet school hasa medium ps unaweza ona zinafanya vema ila ni matope kabisa zinaongoza kutoa watoto viraza wasiojitambua kaz ya hizo shule ni kukaririsha tu. Japo zipo chache zinazofundisha maarifa. Serikali inashindwa kudhibit utitir wa mashule ya hovyo kwan huwapunguzia mzigo wa ajira n.k
 
Ni kweli kabisa.

Hii inatokana na walimu wa shule hizo kuwa wavivu kumaliza syllabus.

Kingine ni kwamba ma director wa shule pia huchelelewa kuwalipa walimmu mishahara au kutowalipa kabisa na hivyo walimu hawafundishi.

Wanakuja kukurupuka mwezi wa 5 umekaribia na ndiyo matokeo yake wanaleta hizi HOLIDAY PACKAGE.

Serikali iingilie kati hili suala maana madirector wanaadhbu mtu asiyetoa HOLIDAY PACKAGE

Shule gani hizo mnapeleka watoto wenu walimu hawalipwi
 
Siyo kila Mtu anaweza kuongea kwenye kadamnasi, wengine ni wazuri sana kwenye uwaandishi!
Kuna shida mahala.

pengine hata malalamiko yako yanaweza kukosa mashiko kwa kiasi fulani.
 
Back
Top Bottom