Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,543
- 4,760
Mkuu kama unawaza kumsomesha kijana wako shule ya serikali ili akifika chuo kikuu apate mkopo.NAKUHURUMIA SANAKuna ka ukweli hapa.
Hali hii imetokana na wanafunzi wanaopata mikopo ya elimu ya juu ni wale waliosoma shule za Serikali, Pia ukata mkali huku mtaani nao unachangia wazazi kuwaacha watoto wao wasome shule za kata.