Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Ukiangalia matokeo ya kidato cha nne na sita ni ukweli usiopingika wanafaulu sana, lakin ukiangalia shule binafsi nyingi wanafunzi wanafundishwa mbinu za kufaulu mtihani na sio kuelewa mazingira yaliyomzunguka.
Kwenye hizo shule msisitizo ni kufaulu Kwa sababu elimu ni biashara, matokeo yake huyo mwanafunzi akienda chuo akimaliza anakua hana uwezo sana Kwa sababu msingi wake alikuwa anapewa mbinu za kufaulu na sio kuelewa.
Ndo maana wanafunzi wengi wa kileo wanavyeti vizuri sana lakini vichwani hamna kitu, hawana maarifa.
Kwenye hizo shule msisitizo ni kufaulu Kwa sababu elimu ni biashara, matokeo yake huyo mwanafunzi akienda chuo akimaliza anakua hana uwezo sana Kwa sababu msingi wake alikuwa anapewa mbinu za kufaulu na sio kuelewa.
Ndo maana wanafunzi wengi wa kileo wanavyeti vizuri sana lakini vichwani hamna kitu, hawana maarifa.