BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Ni usawa tu, kama kuna Kanisa karibu, sioni ugumu wa kuwajengea msikiti hata mdogo tu waweze kuabudu!
sidhani kama kuna ulazima wa kujenga huo msikiti kwani hiyo shule mwanzo ilikuw achini ya kanisa na naamini kuzunguka maeneo ya shule lazima kuna msikiti ... hali hii tukiruhusu basi inamaana shule zote kuwa na misikiti na makanisa haijarishi shule iko chini ya milki ipi .. kitu ambacho kitakuwa cha ajabu