Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 799
- 3,134
πͺπͺπͺTabora schools inuka juu vijana wametuinua, school mate mko wapiππππβοΈβοΈβοΈβοΈ
πͺπͺπͺTabora schools inuka juu vijana wametuinua, school mate mko wapiππππβοΈβοΈβοΈβοΈ
Matokeo hayo yanaonyesha shule Bora kidato cha sita mwaka huu.
Shule zilizo ongoza ni kama ifuatavyo:
1- Kisimiri ya Arusha yenye watahiniwa 72
2- kemebos ya kagera yenye watahiniwa 32
3- Dareda ya manyara yenye watahiniwa 101
4- Tabora Girls ya Tabora yenye watahiniwa 100
5- Tabora boys ya Tabora yenye watahiniwa 120
6- Feza boys ya Dar es salaam yenye watahiniwa 71
7- Mwandet ya Arusha yenye watahiniwa 53
8- Zakia Meghji ya Geita yenye watahiniwa 31
9. Kilosa ya Morogoro yenye watahiniwa 91
10. Mzumbe ya Morogoro yenye watahiniwa 135
Nipo nimejaa tell Bweni la Kimweri kitanda Cha ukutani deka la juuππππTupooooooooooo....
Kutoka bweni la Kimweri pale.
Hahahaaaa... Enzi za kina Marian, Kibaha sijui nani zinayeyuka.
Mchumba upo, japo unaupiga wa chenga jamaniπππHongera kwa shule zilizoupiga mwingiπ
πππππͺπͺπͺ
Na huo ugumu wako lazima niupige mwingi tena wa kona kaliππ nipo babe za huko ulipo?Mchumba upo, japo unaupiga wa chenga jamaniπππ
Huku Safi my lovely, ugumu utaisha tutayajenga tu, maana hizo cross nashindwa hata kuunganisha nifunge maana zinapita juu Sana mama punguzaππππππΊπΊπΊπππππNa huo ugumu wako lazima niupige mwingi tena wa kona kaliππ nipo babe za huko ulipo?
Amina πππPongezi kwa watoto, wazazi na walezi waoππ
Hatari na nusuKisimiri π₯π₯π₯π₯
Kuitupiaje mkuuKumi bora itupien jamani
Ondoa nowdays.Kisimiri wako vizuri nowadays.
LulandalaWale tuliopita Kilosa boys gonga like tujuane enzi za muhondo, Basu na yule aliyekujaga kutoka bagamoyo nishamsahau jina
Mwendo mdundo babe haina kupunguza full kuupiga mwingi hadi useme suuππHuku Safi my lovely, ugumu utaisha tutayajenga tu, maana hizo cross nashindwa hata kuunganisha nifunge maana zinapita juu Sana mama punguzaππππππΊπΊπΊπππππ
Hivi zile special schools au wenyewe waliita shule za viipaji zimekuaje sikuhiziBaraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021 na kutaja shule kumi bora zilizofanya vizuri katika mtihani huo.
Akizungumza leo Jumamosi Julai 10, 2021 visiwani Zanzibar wakati akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde amesema shule iliyoshika nafasi ya kwanza ni Kisimiri ya mkoani Arusha iliyokuwa na watahiniwa 72.
Msonde amesema Kemebos ya Kagera yenye watahiniwa 35 imeshika nafasi ya pili ikifuatiwa na Dareda ya Manyara watahiniwa 101.
Nafasi ya nne amsema imechukuliwa na Tabora Girls yenye watahiniwa 100 ikifuatiwa na Tabora Boys yenye watahiniwa 120.
Nafasi ya sita imeshikwa na Feza Boys ya mkoa wa Dar es Salaam iliyokuwa na watahiniwa 71 ikifuatiwa na Mwandet ya Arusha yenye watahiniwa 53.
Zakia Meghji imeshika nafasi ya nane ikitokea mkoani Geita. Ilikuwa na watahiniwa 31, ikifuatiwa na Kilosa ya Morogoro yenye watahiniwa 91, na Mzumbe watahiniwa 135.
=====
Izi hapa shule 10 zilizofanya vizuri zaidi mwaka 2021
1.KISIMIRI
2.KEMEBOS
3.DAREDA
4.TABORA GIRL'S
5.TABORA BOY'S
6.FEZA BOY'S
7.MWANDET
8.ZAKIA MEGHJI
9.KILOSA
10.MZUMBE
LINK YA MATOKEO IYO APO
πππππππMwendo mdundo babe haina kupunguza full kuupiga mwingi hadi useme suuππ