ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Nov 3, 2011 #43 opssssssss! pole mkuu kwa madhila yalokufika. Aisee ningejua hilo ningekuja kukuona wakati nipo kwa hilo jiji la karaha na ufedhuli!
opssssssss! pole mkuu kwa madhila yalokufika. Aisee ningejua hilo ningekuja kukuona wakati nipo kwa hilo jiji la karaha na ufedhuli!
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Nov 3, 2011 #44 Pole sana kiongozi,naamini operesheni imekwenda vizuri,nakuombea upone haraka uendelee na mihangaiko yetu ya kila siku ya kuhemea.
Pole sana kiongozi,naamini operesheni imekwenda vizuri,nakuombea upone haraka uendelee na mihangaiko yetu ya kila siku ya kuhemea.