Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi