Napenda kutoa shukrani zisizo na kipimo kwa jf members kwa kuwa nami katika kipindi kigumu baada ya kuondokewa na mke wangu mpendwa, shukrani hizi ziwafikie wale wote walioguswa na tukio hilo na wale wote waliotoa mchango wa hali na mali na pia jf members waliosafiri nami mpaka nyumbani Njombe