PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Brodas and Sistos,
Hope JF is still nice.
Kwanza kabisa, napenda kuonyesha kigugumizi kinachonipata kuanza kuongea nanyi, hasa kwa jinsi nilivyo na wasiwasi kama nitaweza kukiandika kilichopo moyoni mwangu kwa kutumia keyboard hii!
Wanandugu, NAPENDA KUWASHUKURU SANA nyote kwa support yenu kubwa ya hali na mali pindi nilipopatwa na Msiba wa Babaangu mpendwa, 26/01/2010 hapa Dar, aliyezikwa huko Mbeya!..
Bila kuwaficha, nilipigwa na butwaa kuona jinsi JFcrew ilivyohusika moja kwa moja katika matukio yote ya episode ile ambayo ni chungu MNO kwangu!
-Nilipata sms nyiingi mno za wanaJF, zote za sympathy,
-Nilipata calls nyiingi mno za wanaharakati wa JF katika kipindi chote cha shida hii!
-Calls na sms pia zilitoka hadi Ulaya(Germany) na Swiss, na maeneo mengine ya ughaibuni ambako mi binafsi sina ndugu, zaidi ya marafiki wa JF!
-Nilipata michango ya rambirambi toka kwa members wasiopungua 10, ambao hadi wananipa michango hiyo nilikuwa sijapata kuonana nao, na wengineo hadi muda huu naandika sifahamu wanafananaje kwa sura!
-Nilipata posts nyingi za POLE za ujumbe wa kila aina ya HEKIMA, kama inavoonyeshwa HAPA
-Nilitembelewa 'live' na wanaharakati wa JF wasiopungua 6, siku ya kuaga mwili, kama mlivyosoma ripoti yao hapa-kwenye-kwenye tundiko lao
Kwa ufupi ndugu wanajamvi, nawashukuru sana kwa kugawana kile ambacho niliki'feel kwa muda ule, waswahili wanasema A SORROW SHARED IS A SORROW HALVED!
Mungu awabariki sana, na umoja huu tuuendeleze bila ya kuogopana, huku ugomvi wa kwenye screen ukiwa unaishia kwenye ku'log-off!
Thanx again friends, na nimeweka kwenye kumbukumbu zangu kwamba NIMEKUTANA LIVE NA MKONO WA MUNGU!
PJ:on transit, Dar-Arusha.
Hope JF is still nice.
Kwanza kabisa, napenda kuonyesha kigugumizi kinachonipata kuanza kuongea nanyi, hasa kwa jinsi nilivyo na wasiwasi kama nitaweza kukiandika kilichopo moyoni mwangu kwa kutumia keyboard hii!
Wanandugu, NAPENDA KUWASHUKURU SANA nyote kwa support yenu kubwa ya hali na mali pindi nilipopatwa na Msiba wa Babaangu mpendwa, 26/01/2010 hapa Dar, aliyezikwa huko Mbeya!..
Bila kuwaficha, nilipigwa na butwaa kuona jinsi JFcrew ilivyohusika moja kwa moja katika matukio yote ya episode ile ambayo ni chungu MNO kwangu!
-Nilipata sms nyiingi mno za wanaJF, zote za sympathy,
-Nilipata calls nyiingi mno za wanaharakati wa JF katika kipindi chote cha shida hii!
-Calls na sms pia zilitoka hadi Ulaya(Germany) na Swiss, na maeneo mengine ya ughaibuni ambako mi binafsi sina ndugu, zaidi ya marafiki wa JF!
-Nilipata michango ya rambirambi toka kwa members wasiopungua 10, ambao hadi wananipa michango hiyo nilikuwa sijapata kuonana nao, na wengineo hadi muda huu naandika sifahamu wanafananaje kwa sura!
-Nilipata posts nyingi za POLE za ujumbe wa kila aina ya HEKIMA, kama inavoonyeshwa HAPA
-Nilitembelewa 'live' na wanaharakati wa JF wasiopungua 6, siku ya kuaga mwili, kama mlivyosoma ripoti yao hapa-kwenye-kwenye tundiko lao
Kwa ufupi ndugu wanajamvi, nawashukuru sana kwa kugawana kile ambacho niliki'feel kwa muda ule, waswahili wanasema A SORROW SHARED IS A SORROW HALVED!
Mungu awabariki sana, na umoja huu tuuendeleze bila ya kuogopana, huku ugomvi wa kwenye screen ukiwa unaishia kwenye ku'log-off!
Thanx again friends, na nimeweka kwenye kumbukumbu zangu kwamba NIMEKUTANA LIVE NA MKONO WA MUNGU!
PJ:on transit, Dar-Arusha.