demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
- Thread starter
- #41
Yanga nao watakuwa wa matopeni siku si nyingi
Nikutoe tu tongotongo machoni mwako!
Yanga SC bingwa wa kihistoria Mara 27 wa Ligi kuu.
Uwepo wake kama mwenyekiti tu umeongezeapo NDOO 4 za Ligi kuu bila kuwaruhusu MIKIA FC hata ndoo moja.
Kabla ya hapo tulikuwa na makombe 23 kabatini idadi ambaya haikuwahi kufikiwa na Simba tangu Nyerere azaliwe.
Hatujawahi kuwa wa Matopeni tangu kuasisiwa kwa Taifa hili.