Shukrani kwenu wanaJF, niwemeza kutatua suala la umeme

UMUNYU

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
685
484
Mnamo 24/05/2020 nilikuja hapa jf nikiwa na changamoto ya kuchangishwa sh.30,000/- kwa ajili ya umeme katika nyumba niliyokuwa nimepanga!Asanteni sana kwa ushauri wenu.

Nimeamua kutafuta nyumba nzima ili nijitegemee kila kitu!Ajabu kwa siku sizidishi hata unit 1,kweli nilikuwa ninaibiwa kama wengi mlivyosema!Asanteni sana!Kweli jf ni kila kitu!Zaidi ya yote nimefanikiwa hata kununua uwanja wangu!

ASANTENI SANA!
 
Yaani hata mwezi hujamaliza. Kwa save hela ya umeme ushanunua na kiwanja.

Ama mimi ndio sijaelewa?
Hapana!Kuhusu kiwanja nilijikusanya kwa muda mrefu nikakipata!Nilipokuja hapa jukwaani nilisema ninachangamoto moja tu ni hiyo niliyokuwa ninachangishwa 30000/- ya umeme,kumbe baada ya hoja za wadau humu niligundua ninaibiwa!
 
Hapana!Kuhusu kiwanja nilijikusanya kwa muda mrefu nikakipata!Nilipokuja hapa jukwaani nilisema ninachangamoto moja tu ni hiyo niliyokuwa ninachangishwa 30000/- ya umeme,kumbe baada ya hoja za wadau humu niligundua ninaibiwa!
Ok, nimeelewa safi mkuu pambana sasa uwe na kwako. Nyumba za watu sio, hata kufuga vikuku vya mboga unashindwa.
 
Huenda alikua anategemea kupata hela soon mkuu! Au alikua ana viovertime...yote yanawezekana!
Hapana Mimi nilianza kwanza kutafuta uwanja na kwa sasa nimepanga ili nikusanye vifaa vya ujenzi!Nimepanga nikianza ujenzi ukamilike ndani ya mwezi mmoja na nusu ili nihamie!
 
Back
Top Bottom