karibu kubaliana na changamoto za humu, ila kabla hujapost elewa mada na u coment, si kukurupuka. ila narudia karibu sana ulimwengu wa ma great thinkers.
Karibu na wala usiwajali wale wabaguzi ambao ipo siku watakuambia "mtu mwenyewe umejiunga juzi tu hapa, hata mwaka bado" wenzako huwa wanajibu hivi "mie nimo kitambo sema tu natumia ID zaidi ya moja!" Akikuambia nitajie mdada mmoja mwenye hoja tata mwenye uwezo wa kukisimamia anachokiamini, we taja tu; Faiza FoxyNapenda kuishukuru jamiiiforums kwa kunisajili kuwa mwanachama,nilikuwa msomaji tu na nilikuwa na shauku kubwa ya kutoa mawazo yangu na kuchangia hoja mbalimbali zinazoletwa hapa.
Huyu mgeni vipi? Mbona tunamkaribisha ndani yeye kakaa nje?