Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,519
- 34,821
"Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili ya kawaida" this is too much.....hata yeye akiona hiki ulichoandika atashangaa.Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.