Philemon Mikael,
..for your information Gen.Ricardo Sanchez ana degree ya Maths. Ge.Petreas ana PhD toka Princenton. Gen.Wesley Clark ni Rhodes scholar. sasa kwanini ktk jeshi letu wenye elimu watengwe kama wakoma?
Unaongelea kuwa wasomi wanatengwa sasa hivi au walitengwa zamani? Kwa nini Sanchezi alipewa nafasi kubwa kwa kuwa na degree ya math wakati Petreas alikuwa na PhD? Mbona aliyemteua Sanchez kwanza hakumteua Petreas that time pamoja na Phd yake?
Ni wanajeshi wangapi kati ya wanajeshi milioni moja na ushee wa marekani wana degree? je wote wenye position kubwa jeshini ni wasomi wa princeton?