FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Hivi inakuwaje nchi iliyoendelea katika sekta ya miundo mbinu na usafirishaji inakuwa na hali mbaya kama Mbagala?
Chukua idadi ya watu wa jiji la Beijing zaidi ya M10 walete Dar hafu jiulize usafiri uliopo utawatosha?Hivi inakuwaje nchi iliyoendelea katika sekta ya miundo mbinu na usafirishaji inakuwa na hali mbaya kama Mbagala?
Idadi ya watu Beijing ni milioni 56 zaidi ya idadi ya Watanzania wote.Chukua idadi ya watu wa jiji la Beijing zaidi ya M10 walete Dar hafu jiulize usafiri uliopo utawatosha?
Acha bhanaIdadi ya watu Beijing ni milioni 56 zaidi ya idadi ya Watanzania wote.
Umeshaambiwa rush hrHivi inakuwaje nchi iliyoendelea katika sekta ya miundo mbinu na usafirishaji inakuwa na hali mbaya kama Mbagala?
Kwani miundo mbinu hutengenezwa kwa ajili ya muda gani kama si rush hour?Umeshaambiwa rush hr
Hivi inakuwaje nchi iliyoendelea katika sekta ya miundo mbinu na usafirishaji inakuwa na hali mbaya kama Mbagala?
as per 2017. mwaka mmoja tu wameongezeka 30M+?Idadi ya watu Beijing ni milioni 56 zaidi ya idadi ya Watanzania wote.
Hivi inakuwaje nchi iliyoendelea katika sekta ya miundo mbinu na usafirishaji inakuwa na hali mbaya kama Mbagala?
Yakija huku hayataki kurudiNdiyo wamefurika kwao wanatufanyia kila hila waje kujimwaga huku, tuwe makini
Yakija huku hayataki kurudi
Katika picha hii kuna kitu cha kujifunza ambacho si cha kawaida, Nidhamu na subira ya hao wachina wakati wa kupanda na kushuka. Hebu fikiria huo umati ukiamua kugombea na kupitia madirishani kama ilivyo kule Mbagala na Kimala wakati wa asubuhi, vifo vinaweza kutokea hapo
Ndio maana wanajazana Tanzania, na wanagoma kurudi kwao, wanang'ang'ania kama luba, wengine huonga mamilioni ya pesa uhamiaji ili waendelee kuishi bongo, hata wahindi nao, shida ni hii hii, overpopulation mijini, ilihali vijijini ni patupu hakuna watu kabisaYakija huku hayataki kurudi
Your figure is more correct. Thanks.as per 2017. mwaka mmoja tu wameongezeka 30M+?
View attachment 952346