Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,315
- 2,634
Leo hii mida hii nimesikiliza wimbo wa huyu mzee babu seya roho imeniuma sana pale nilipo kumbuka kwamba alifungwa kwa kosa la kunajisi watoto.pia nakumbuka jinsi kesi yake ilivyovuta wengi kufuatilia kesi hiyo.hiyo yote ni kutokana na utata wa madhingira ya huo ubakaji.jambo la msingi kwenu wana jf ninaomba tukumbushane hasa kwa wale wanaoifahamu kwa ukaribu familia hii