Kwa wanapenda kujua kilichotokea na kesi ilivyokuwa, hii hapa ni Hukumu ya Babu seya. Nawasilisha. Judge for yourself.
Kuna kila harufu ya kesi ya kutunga hapa.
Kwenye nakala ya hukumu hii para imenipa utata mkubwa. Iweje mtoto alifumba macho na kufungwa kitambaa cheusi juu ya macho na bado akaona vizuri anayoelezea kutoka kwa dudu la mtuhumiwa?. Hiki kipengele pekee chaashiria ushahidi wote ulitungwa.
Gift went on to narrate what happened one day when she came from school. That unknown day and month Baby Seya/Sea called her and gave her soda. She called her into his room. He told her to close her eyes and she did. Then Babu Seya/Sea tied a black piec of cloth over her eyes. Babu Seya/Sea undressed her, put ointment on her private parts and "akamwingizia dudu lake na akamwambia anyonye Dudu Lake". He had sexual intercourse and told her to suck his penis. She said his penis was emitting whitish things which he told her to swallow. "Dudu lake lilikuwa linatoa maziwa na wadudu wadogo wadogo akaniambia nimeze".
Umesoma hukumu mpaka mwisho lakini?au nyie ndiye dizaini mnasainii mikataba hotelini baada ya kusoma heading tu?
Ngumijiwe hayo nilonakilisha hapo ni sehemu ya hukumu yenyewe na siyo heading kama usemavyo. Kitendo cha hoja kama hiyo kuorodhodheshwa kama uthibitisho kuwa uhalifu ulikuwepo ndo kimenipa shaka kubwa.
Kama wameweza kuzusha hilo kisheria hoja nyingine nazo hule shaka.
nakumbuka nilimsikia mwaka 1993 na nilisikia alikua ameshakufa.kweli jf kiboko yao.yaan huyu MAUMBA nilimsikia akiimbwa na mwana bongo f.a Saleh jabri akisema:SITAPENDA WENGI KAMA MAUMBA.
shukran kwa hilo mkuu.Kuna kila harufu ya kesi ya kutunga hapa.Kwenye nakala ya hukumu hii para imenipa utata mkubwa. Iweje mtoto alifumba macho na kufungwa kitambaa cheusi juu ya macho na bado akaona vizuri anayoelezea kutoka kwa dudu la mtuhumiwa?. Hiki kipengele pekee chaashiria ushahidi wote ulitungwa. Gift went on to narrate what happened one day when she came from school. That unknown day and month Baby Seya/Sea called her and gave her soda. She called her into his room. He told her to close her eyes and she did. Then Babu Seya/Sea tied a black piec of cloth over her eyes. Babu Seya/Sea undressed her, put ointment on her private parts and akamwingizia dudu lake na akamwambia anyonye Dudu Lake. He had sexual intercourse and told her to suck his penis. She said his penis was emitting whitish things which he told her to swallow. Dudu lake lilikuwa linatoa maziwa na wadudu wadogo wadogo akaniambia nimeze.
Uko sahihi mkuu, lakin nadhan ungejiuliza kwann watu wanamuonea huruma babu seya! Mm namfaham babu seya kabla hata hajapewa hyo kesi kwa sababu nilisoma na mwanaye wa mwisho ambaye sasa hivi yuko huru pamoja na kaka yake anayejulikana kwa jina la nguza mbangu! Namfaham vizuri babu seya! Hii kesi ilipikwa na na mkuu wako wa kaya kwa taarifa yako! Ndo maana hata katika ile rufaa ya mwaka jana wakati inasomwa, Mabere Marando ambaye alikuwa wakili wao pamoja na ushahid aliouwasilisha pale alisema 'this is a cooked case', na akajaribu kufafanua! Cha ajabu hakimu wala hakuuliza ni mtu gani ambaye wao wanadhan aliipika ile kesi, unadhani ni kwa nin? Alikuwa anajua ile kesi ni ya nan....! Ila tunashukuru Mungu wawil wametoka, wamebaki mzee nguza na papii kocha! una swali mkuu?Hakuna haja ya kumuonea huruma mbakaji. Hivi angekuwa amefanyiwa mwanao ungefurahi? Hii adhabu nadhani haimtoshi, watu wa aina hii hutakiwa kunyongwa tu.
wakuu ninatumai mimi na wengine tumepata mwanga kidogo.kama unaweza naomba uifungue hiyo hukum kisha uiweke nasie tuisome.maana hapa natumia simu.Mkuu ndiyo mana nikasema ni bora ungesoma hiyo hukumu mpaka mwisho.Hicho kipengele kama ungeendelea kusoma ungeona jinsi kilivyofafanuliwa
safi sana mwana jf nikiokota hiki na kile toka kwa wachangiaji najua mwisho kabisa nitakuwa nimeielwa.Uko sahihi mkuu, lakin nadhan ungejiuliza kwann watu wanamuonea huruma babu seya! Mm namfaham babu seya kabla hata hajapewa hyo kesi kwa sababu nilisoma na mwanaye wa mwisho ambaye sasa hivi yuko huru pamoja na kaka yake anayejulikana kwa jina la nguza mbangu! Namfaham vizuri babu seya! Hii kesi ilipikwa na na mkuu wako wa kaya kwa taarifa yako! Ndo maana hata katika ile rufaa ya mwaka jana wakati inasomwa, Mabere Marando ambaye alikuwa wakili wao pamoja na ushahid aliouwasilisha pale alisema 'this is a cooked case', na akajaribu kufafanua! Cha ajabu hakimu wala hakuuliza ni mtu gani ambaye wao wanadhan aliipika ile kesi, unadhani ni kwa nin? Alikuwa anajua ile kesi ni ya nan....! Ila tunashukuru Mungu wawil wametoka, wamebaki mzee nguza na papii kocha! una swali mkuu?
kweli kabisa mkuu,hata me natumia simuwakuu ninatumai mimi na wengine tumepata mwanga kidogo.kama unaweza naomba uifungue hiyo hukum kisha uiweke nasie tuisome.maana hapa natumia simu.
ni kweli kabisa mkuu,wabakaji hawafai,nasuport hata wachinjwe ila"WAWE KWELI WABAKAJI"Hakuna haja ya kumuonea huruma mbakaji. Hivi angekuwa amefanyiwa mwanao ungefurahi? Hii adhabu nadhani haimtoshi, watu wa aina hii hutakiwa kunyongwa tu.
Mimi hapa nimeshamtembelea sana kabla wale wanae wawili hawajaachiwa! Na kesi yake naijua A-Z!Nyie mnaojifanya mnamuonea huruma Babuseya, hivi mlishawahi kumtembelea hata siku moja huko gerezani? Acheni unafiki wenu wa kujikosha hapa ilihali hamna utu wowote.
Hakuna haja ya kumuonea huruma mbakaji. Hivi angekuwa amefanyiwa mwanao ungefurahi? Hii adhabu nadhani haimtoshi, watu wa aina hii hutakiwa kunyongwa tu.