Ilikuwa tu katika shamrashamra za kuupokea mwaka ndani ya JFHujatulia wewe.
Ilikuwa tu katika shamrashamra za kuupokea mwaka ndani ya JFHujatulia wewe.
Dah nimeshangaa sana na kusikitika juuHakua dereva tax ndani ya miez 5 aliolewa na muislamu na kufunga ndoa ya kislamu ndugu Wa mwanaume walimnyanganya nyumba gar bada yakuolewa na huyo muislam afu watoto kwa kua walikua wanasoma English medium askofu aliwachukua kuwalea huu uaskofu cjui uchungaji wengi wanamichepuko kibao huyu bint yawezekana alikua na mahusiano na huyu kizee kabla mana ata mwaka hujaisha tayar kuoa haiwezekani
Katika watu waliowahi kutia aibu basi na mke wa marehemu sedekia ni mmojawapoHakua dereva tax ndani ya miez 5 aliolewa na muislamu na kufunga ndoa ya kislamu ndugu Wa mwanaume walimnyanganya nyumba gar bada yakuolewa na huyo muislam afu watoto kwa kua walikua wanasoma English medium askofu aliwachukua kuwalea huu uaskofu cjui uchungaji wengi wanamichepuko kibao huyu bint yawezekana alikua na mahusiano na huyu kizee kabla mana ata mwaka hujaisha tayar kuoa haiwezekani
Hiyo ya mke wa Sedekia haina ukweli, hajaolewa mpaka sasaHakua dereva tax ndani ya miez 5 aliolewa na muislamu na kufunga ndoa ya kislamu ndugu Wa mwanaume walimnyanganya nyumba gar bada yakuolewa na huyo muislam afu watoto kwa kua walikua wanasoma English medium askofu aliwachukua kuwalea huu uaskofu cjui uchungaji wengi wanamichepuko kibao huyu bint yawezekana alikua na mahusiano na huyu kizee kabla mana ata mwaka hujaisha tayar kuoa haiwezekani
Askofu mwnyw kachukua kisu mbona hajaenda kuoa mzee mwenzie
Ila wanaume ni majasiri, yaani kafiwa mwaka jana, mwaka uliofuata akafunga pingu za maisha! mmm ukiona hivyo labda alikuwa anamjua huyo bibie hata kabla my wife wake hajaaga dunia!
Yaani kizee kama hicho kikinioa mie mwenye umri mdogo nitahakikisha ile jioni nakiogesha safiii, nakipaka mafuta ya mgando mwili mzima (babycare) nakafunika blanketi zitoo kanatoka jasho mie naenda zangu misele kupigwa miti ya uhakika
Kwahiyo askofu alianza kula b4 hajaoa?Hahahaa hakuna mtu anapenda kibaya. Kila mtu anapenda kitu kizuri mkuu . Acha baba askofu ajilie vyake ili mradi ni vya halali.
Maandiko yanawataka watumishi wa Mungu kama maaskofu kuoa BikiraKwahiyo askofu alianza kula b4 hajaoa?
Wanawake kusubiri miaka 3 siyo kwamba wana upendo kuliko wanaume. Labda ukikaa bila kuolewa na wala kugegedwa hapo ndo naweza kuamini ulipenda. Mbali na hapo wengi wanafanya kama show off jamii isiwafikirie vingine lakini si kwamba walikuwa na upendo wa kihivyo.rubii, japo mitatu. hata hivyo wanaume ni tofauti na sie wanawake! sidhani kama ingekuwa yeye ndie kafariki mama angeolewa fasta namna hiyo! halafu swali la kujiuliza yaani ndani ya mwaka mmoja alimtafuta lini huyo mchumba, aka mstudy hadi kufunga pingu za maisha!
Huyo bibi harusi ni bikira?Maandiko yanawataka watumishi wa Mungu kama maaskofu kuoa Bikira
Anajua mumewe ila kwa macho ni kigori kama Mambo ya Walawi inavyosemaHuyo bibi harusi ni bikira?
mshenzi wa tabia wewe umenishinda khaaaaaaaaaIla wanaume ni majasiri, yaani kafiwa mwaka jana, mwaka uliofuata akafunga pingu za maisha! mmm ukiona hivyo labda alikuwa anamjua huyo bibie hata kabla my wife wake hajaaga dunia!
Yaani kizee kama hicho kikinioa mie mwenye umri mdogo nitahakikisha ile jioni nakiogesha safiii, nakipaka mafuta ya mgando mwili mzima (babycare) nakafunika blanketi zitoo kanatoka jasho mie naenda zangu misele kupigwa miti ya uhakika