johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,783
Nimeangalia taarifa ya habari Star tv na kuona mwandishi wao akimuhoji kijana mmoja aliyeshuhudia tukio mwanzo mwisho.
Kijana anadai gaidi Hamza alishushwa na gari fulami ( sijasikia vizuri kama ni ST au IST) na kuanza kuwashambulia polisi kwa bastola huku akitamba kila kona na kuonekana ni mzoefu.
Hii taarifa ya habari ya kituo cha Diallo ndio imenichanganya zaidi lakini hata Wasafi wamemuhoji huyo kijana na stori ni hiyo hiyo.
Kilichonishangaza ni taarifa ya dada mwingine aliyedai gaidi akitokea baharini na aliwasalimia kisha ndio akawaelekea polisi na kuanza kupiga risasi.
Anyway uchunguzi wa polisi utatupatia ukweli.
Kijana anadai gaidi Hamza alishushwa na gari fulami ( sijasikia vizuri kama ni ST au IST) na kuanza kuwashambulia polisi kwa bastola huku akitamba kila kona na kuonekana ni mzoefu.
Hii taarifa ya habari ya kituo cha Diallo ndio imenichanganya zaidi lakini hata Wasafi wamemuhoji huyo kijana na stori ni hiyo hiyo.
Kilichonishangaza ni taarifa ya dada mwingine aliyedai gaidi akitokea baharini na aliwasalimia kisha ndio akawaelekea polisi na kuanza kupiga risasi.
Anyway uchunguzi wa polisi utatupatia ukweli.