Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,254
- 33,839
Shughuli za Kimuungano zinapofanyika Zanzibar haimaanishi shughuli hizo zisimamiwe na viongozi toka Zanzibar.
Mambo ya Muungano yanasimamiwa na serikali ya Muungano na siyo Serikali ya Zanzibar.
Mambo yote ya Muungano yana mawaziri wake wa kuyasimamia.
Mambo ya Muungano yanasimamiwa na serikali ya Muungano na siyo Serikali ya Zanzibar.
Mambo yote ya Muungano yana mawaziri wake wa kuyasimamia.