Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,185
- 9,626
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
====
Tendo hili ni kufuru kwa ishara zilizotakatifu kwa Imani yaani Msalaba. Kutumia msalaba kudhihaki ni dharau na kufuru kubwa kwa waamini wakristu na wote wanaoamini kwamba walikombolewa katika msalaba huo. Ni tusi kubwa kwao. Mbaya zaidi kuvaa mavazi yanayofanana na yale yanayotumiwa katika ibada takatifu ni kuzifanya ibada za Kikristo kichekesho. Inasikitisha sana. Sikutegemea tumefikia hatua hiyo.
NI TUMAINI LETU KWAMBA UONGOZI WA SIMBA UTALAANII KITENDO HIKI NA KUOMBA SAMAHANI KWA WAAMINI WAKRISTO.
Askofu Method Kilaini
====
Tendo hili ni kufuru kwa ishara zilizotakatifu kwa Imani yaani Msalaba. Kutumia msalaba kudhihaki ni dharau na kufuru kubwa kwa waamini wakristu na wote wanaoamini kwamba walikombolewa katika msalaba huo. Ni tusi kubwa kwao. Mbaya zaidi kuvaa mavazi yanayofanana na yale yanayotumiwa katika ibada takatifu ni kuzifanya ibada za Kikristo kichekesho. Inasikitisha sana. Sikutegemea tumefikia hatua hiyo.
NI TUMAINI LETU KWAMBA UONGOZI WA SIMBA UTALAANII KITENDO HIKI NA KUOMBA SAMAHANI KWA WAAMINI WAKRISTO.
Askofu Method Kilaini