Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,492
- 2,357
Wakuu habari za saa, Naomba ushauri juu ya shughuli za kiuchumi ambazo hazitaathiri sana ratiba ya mwanachuo. (wa dar)
1. Ufugaji wa kuroiler (mkoani )
2. Kilimo cha mpunga (shadidi ), Morogoro
Ipi kati ya shughuli hizi ina returns nzuri?
Ipi kati ya shughuli hizi ina capital ndogo?
Karibuni
Mr Confidential
1. Ufugaji wa kuroiler (mkoani )
2. Kilimo cha mpunga (shadidi ), Morogoro
Ipi kati ya shughuli hizi ina returns nzuri?
Ipi kati ya shughuli hizi ina capital ndogo?
Karibuni
Mr Confidential