Kajamaa kamemzia mtu mzima umri kama wa mama yake. kusema kweli kazi
haziendi kila siku kakidai hakajiwezi kwa mama huyo mpaka kanaharibu kazi ofisini.
Washauri wengi wamekaambia kuwa, huwa sio rahisi serengeti boys kumpata/kumtongoza
jimama na ukichukulia mwonekano jimama huyo ni wa kujiheshimu.
Kajamaa kakikazana eti mbona friend yake anaye kama huyo na anado? Mshauri
amesisitiza kuwa kasijaribu, hiyo inawezekana tu jimama mwenyewe akimzimia
serengeti boys, ataweza kumshawishi na kumpata, lakini usijidanganye kama
serengeti utaweza kumpoteza mama mtu mzima na kumpata tena yule anayeonekana
anajiheshimu.
KAJAMAA KAFANYE NINI? KAMA JIMAMA HUYO NDO DAWA YA MAWAZO YAKE.
na ni kweli mama mwenyewe mkali kinoma, namheshimu ila lazima niseme ukweli.
haziendi kila siku kakidai hakajiwezi kwa mama huyo mpaka kanaharibu kazi ofisini.
Washauri wengi wamekaambia kuwa, huwa sio rahisi serengeti boys kumpata/kumtongoza
jimama na ukichukulia mwonekano jimama huyo ni wa kujiheshimu.
Kajamaa kakikazana eti mbona friend yake anaye kama huyo na anado? Mshauri
amesisitiza kuwa kasijaribu, hiyo inawezekana tu jimama mwenyewe akimzimia
serengeti boys, ataweza kumshawishi na kumpata, lakini usijidanganye kama
serengeti utaweza kumpoteza mama mtu mzima na kumpata tena yule anayeonekana
anajiheshimu.
KAJAMAA KAFANYE NINI? KAMA JIMAMA HUYO NDO DAWA YA MAWAZO YAKE.
na ni kweli mama mwenyewe mkali kinoma, namheshimu ila lazima niseme ukweli.