Shubiri (Aloe vera) ni tiba ya matatizo haya

Undava King

JF-Expert Member
Aug 11, 2017
3,085
4,499
Sina stori ndefu maana kila mtu anautambua ugonjwa huu, dalili zake, namna ya kujikinga na madhara yake.

Hivyo hapa nipo kupendekeza tiba mbadala kama ilivyo kufukiza naomba nikwambie tu kuwa endapo utaandamwa na matatizo ya kuharisha, kichwa kuuma, joto n.k usijali ndugu tafuta mwalovera chuma jani la alovera kamua maji yale ya mshubiri pori kunywa vijiko viwili vikubwa vya chai pasipo kumix na chochote rudia tiba hii kwa siku zisizozidi tatu kutwa mara mbili afu leta mrejesho jamvini.

NB: Ushauri huu si wakidaktari au wakitaalamu, hivyo endelea kuchukua tahadhari nakufata ushauri wa kisayansi uliothibitishwa na ukiona dalili wahi mapema hospitali, na kuhusu tiba hii ukiamua kuitumia itumie kama mbadala tu.
 
Tahadhari: Matumizi holela ya madawa ya kienyeji ni hatari sana kwa afya ya ini na figo.
Aiseeee!!! Ukinywa maji mengi haisaidiii walau?? Kuna dawa moja ya kienyeji nilipewa na masai fulani dawa ni chunguu balaa afu mtu akinywa hapohapo unaanza kusikia kizunguzungu kichwa kinakua kama kimejam hivi ukinywa ukatembea unaeza anguka..

Ila matokeo ya dawa hiyo kwashida yangu nayaona kabisa!
 
Sina stori ndefu maana kila mtu anautambua ugonjwa huu, dalili zake, namna ya kujikinga na madhara yake.

Hivyo hapa nipo kupendekeza tiba mbadala kama ilivyo kufukiza naomba nikwambie tu kuwa endapo utaandamwa na matatizo ya kuharisha, kichwa kuuma, joto n.k usijali ndugu tafuta mwalovera chuma jani la alovera kamua maji yale ya mshubiri pori kunywa vijiko viwili vikubwa vya chai pasipo kumix na chochote rudia tiba hii kwa siku zisizozidi tatu kutwa mara mbili afu leta mrejesho jamvini.

NB: Ushauri huu si wakidaktari au wakitaalamu, hivyo endelea kuchukua tahadhari nakufata ushauri wa kisayansi uliothibitishwa na ukiona dalili wahi mapema hospitali, na kuhusu tiba hii ukiamua kuitumia itumie kama mbadala tu.
We jamaa utaua watu Tena shubiri oori vijiko viwili??????
Tone TU mtiti Kama hunabujuzi au utaalamu wanting asili tafadhali usimuelekeze mtu dawa au ajitengezee dawa !!!
 
Aiseeee!!! Ukinywa maji mengi haisaidiii walau?? Kuna dawa moja ya kienyeji nilipewa na masai fulani dawa ni chunguu balaa afu mtu akinywa hapohapo unaanza kusikia kizunguzungu kichwa kinakua kama kimejam hivi ukinywa ukatembea unaeza anguka..

Ila matokeo ya dawa hiyo kwashida yangu nayaona kabisa!

Unywaji wa dawa hizo inatakiwa iwe recommended na wataalam wa tiba asili(wapo muhimbili) ,hao wamasai hawana vipimo hivyo still ni hatari hata ukinywa maji maana tunachozungumzia ni ujazo(wingi-Concentration).
 
Aiseeee!!! Ukinywa maji mengi haisaidiii walau?? Kuna dawa moja ya kienyeji nilipewa na masai fulani dawa ni chunguu balaa afu mtu akinywa hapohapo unaanza kusikia kizunguzungu kichwa kinakua kama kimejam hivi ukinywa ukatembea unaeza anguka..

Ila matokeo ya dawa hiyo kwashida yangu nayaona kabisa!

Shida yako ilikua ni ipi ndugu?
 
Nina asilimia za uhakika na imani kuwa atapona ndiyo maana nimeleta bandiko
Mkuu; Ulishajaribu kutumia wewe???? Nina UHAKIKA mtumiaji atavaa taulo baada ya robo saa tangu kunywa kiasi ulichotaja na Asipowahi hospitali au kunywa maziwa fresh mengi anaweza KUPOTEZA MAISHA/KUFA... (Believe me). Sisi huku kwetu hiyo kitu inaitwa osukuroi. Ukitaka kuitumia lazima umpate mtu au mzee mzoefu na anayejua VIPIMO.
 
Hizi dawa zikitumiwa na wazee wetu na zinatibu..ila sasa hivi ni kusisitizwa kuwa zina madhara na ili upone utumie za mzungu..

Kuna maradhi mengine hayaponi hata kwa dawa za hospital... .......
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom