Show kama anafanya Shishi beby
sawa..Uchawi siyo mabaya kabisa,
Uchawi ni kipaji cha hali ya juu sana, wahindi, wazungu, wachina wote ni wachawi!
Tujifunze kutumia uchawi wetu kuleta maendeleo tu!
Watu wamechoka na Madrama ya Ngono.Mimi ni shabiki wa Diamond ila ukweli usemwe jamaa kadrop, akitoa wimbo hakuna anaestuka kama zamani, kuna kipindi alikuwa level sawa na kina Davido na Wizkid ila sahivi wamemwacha mbali mno. Cheki show anazofanya Davido/Wizkid then rudi kwa Diamond, what a joke! Ajipange tu kibiashara zaidi maana zama zake kimuziki naona zinaelekea ukingoni na umaarufu wake unapungua, kuna kipindi alikuwa anakaribia kulingana followers wa Insta na Davido ila sasa kaachwa mbali
Halafu ngoma zake akitoa zinavuma wiki 1 tu insta then zinapotezewa, hapo inabidi ajiulize tatizo nini. Iyena/Alleluyah zimesumbua insta na U-Tube ila mtaani huzisikii kabisa. Ndo kama ulivyosema watu wanafatilia drama zake na familia yake kuliko muzikiWatu wamechoka na Madrama ya Ngono.
Ishtoshe miaka ya hivi karibu Hit aliyotoa yenye afadhali ni Halelluyah
Zinasumbua Instagram kutokana na Drama zinazokuwa zimeambatana na Ngoma husika. YouTube zinaangaliwa sana kutokana pia hizo Drama pamoja na ukubwa wa fanbase waliyo nayo kwasasa.Halafu ngoma zake akitoa zinavuma wiki 1 tu insta then zinapotezewa, hapo inabidi ajiulize tatizo nini. Iyena/Alleluyah zimesumbua insta na U-Tube ila mtaani huzisikii kabisa. Ndo kama ulivyosema watu wanafatilia drama zake na familia yake kuliko muziki
No doubt KWANGWARU ndio the biggest hit tangu mwaka huu uanzeZinasumbua Instagram kutokana na Drama zinazokuwa zimeambatana na Ngoma husika. YouTube zinaangaliwa sana kutokana pia hizo Drama pamoja na ukubwa wa fanbase waliyo nayo kwasasa.
Hata Marombosso na Lavalava ambao kwa tafsiri yangu hawana HIT, wanatembelea hiyo fanbase.
Kuhusu wimbo kuwa HIT hilo ni suala jingine. Mfano at least 'Kwangwaru' kama imeHIT
Wivu 100%Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
Hiki ndicho watanzania tunakiweza zaidiKwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
Naskia show hazizidi watu kumi ..
Davido ni Moto sasa hivi .. untouchable ..Alikuwa level za Davido miaka miwili nyuma!
K... hazijawahi kumwacha mtu salama, eti mwenyewe anasema kazi na dawa
Kabaki kuimba mitusi tu!
Na wabongo tulivyo wanafiki sasa, mpaka mtu anapotea hatushauri ila tunashabikia tu!
Dah na wewe kama sio mmbea unafanya nini kwenye Uzi huu...Ndo walipojiajili humo. Wanaachaje? Faida kusutwa na kuliwa kiboga
Ulitaka akulambe?Davido anaperform kwenye ma wireless huko na kina drake,yeye analambana na vibinti instagram
Ninyi ndo wenye akili kama za JIWE mnaturudisha sana nyuma kama WaTanzania. Mnachukia sana kukosolewa na kuambiwa ukweli utafikiri ninyi ni malaika. Kama mnampenda huyo jamaa yenu mwambieni hata mashabiki wake nao wamekua.Hiki ndicho watanzania tunakiweza zaidi
Kuombea na kushangilia shida za watu
Inasikitisha