Patriarch
Senior Member
- May 21, 2021
- 174
- 223
Unaandika vizurii sanaaa..😍August,2020.
Naenjoy zaidi kuandika kwenye plain paper kuliko karatasi yenye mstari.View attachment 1856431
#Handwriting
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika vizurii sanaaa..😍August,2020.
Naenjoy zaidi kuandika kwenye plain paper kuliko karatasi yenye mstari.View attachment 1856431
#Handwriting
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeniforce nishike biki, nimeshika sa sijui niandike kipi.../
Na mwandiko mchafu si mnipe jiki?, niandike kwa vina mpaka mniite gwiji.../
Kuna mwana nataka nimchane, nawajuza mi ndo nilie muandikia Saint Anne...au sio mwana wane?
Mcheki Its Pancho kaanzisha mada afu kanywea, stuka mwenzako Prisonerx kaandika hadi vifaa vya hardware.../
Huu mwandiko unapendeza nimeulaza kifudifudi, na ndio maana siufichi nauweka wazi uonekane sio kama Bujibuji.../
Patriarch mwanangu ebu punguza hisabati, umefanya mpaka moyo wa ledada usiwe smart.../View attachment 1856636
Ñakubali kaka.. ingefaa uingie studio, seems mziki upo kwenye damu.Mmeniforce nishike biki, nimeshika sa sijui niandike kipi.../
Na mwandiko mchafu si mnipe jiki?, niandike kwa vina mpaka mniite gwiji.../
Kuna mwana nataka nimchane, nawajuza mi ndo nilie muandikia Saint Anne...au sio mwana wane?
Mcheki Its Pancho kaanzisha mada afu kanywea, stuka mwenzako Prisonerx kaandika hadi vifaa vya hardware.../
Huu mwandiko unapendeza nimeulaza kifudifudi, na ndio maana siufichi nauweka wazi uonekane sio kama Bujibuji.../
Patriarch mwanangu ebu punguza hisabati, umefanya mpaka moyo wa ledada usiwe smart.../View attachment 1856636
Mimi nipo kinyume kidogo,,Najua zaidi kunyoosha kwenye karatasi isiyo na mistari ,kuliko karatasi iliyopigwa mstari.Unaandika vizurii sanaaa..
Oh! hongera that's talent! wengine bila karatasi ya mistarii unajikuta maandshi yanapanda na kushuka, plane paper inanisumbua aseeeMimi nipo kinyume kidogo,,Najua zaidi kunyoosha kwenye karatasi isiyo na mistari ,kuliko karatasi iliyopigwa mstari.
Karatasi nyeupe huwa sipindishi kabisa,na huwa nashangaa kwanini watu hawawezi kunyoosha.
Karatasi yenye mstari inanipa shida mno kuifwata maana tayari nina mstari wangu mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala siyo kipaji maana hata mimi kwenye karatasi yenye mstari napindishaOh! hongera that's talent! wengine bila karatasi ya mistarii unajikuta maandshi yanapanda na kushuka, plane paper inanisumbua aseee
Kuna watu tutulie tu tusije pigwa ban za muandiko..
Tuseme ni nini if not talent?😄😂Wala siyo kipaji maana hata mimi kwenye karatasi yenye mstari napindisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona ledada anashika chat .Mpaka sasa mwandiko wa Saint Anne ndio umenona zaidi
Mi mwenyewe nashindwaga kuusoma vizuri.. Anne sitaki balaa na mods mie..😂
Weka tuone,
Kama wangu ulivyo mbaya haujapigwa ban basi hakuna mwandiko utapigwa ban.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe nashindwaga kuusoma vizuri.. Anne sitaki balaa na mods mie..
Tuseme ni nini if not talent?😄😂Wala siyo kipaji maana hata mimi kwenye karatasi yenye mstari napindisha
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Au unapingana na sheria za asili, umewekewa njia ila unashindwa kunyooka nayo... ukinyimwa njia unafanya imagination kupata njia iliyonyooka.!
umenikumbusha mbali sna
Saint Anne bado nakupenda sitaki mwandiko wangu uwe sababu ya wewe kupata stroke haya mengine tuachie tunayoyaweza haya maisha yanamengi ndani yake mengine unaweza zimia! 😂😂
Weka tu,huwezi jua labda siye pharmacists,mabingwa wa kusoma miandiko iliyoshindikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah! ilinitesa sana , sema niliipenda ,so i used to solve more...umenikumbusha mbali sna
advanced physics
Tuseme ni nini if not talent?
Au unapingana na sheria za asili, umewekewa njia ila unashindwa kunyooka nayo... ukinyimwa njia unafanya imagination kupata njia iliyonyooka.!
Saint Anne bado nakupenda sitaki mwandiko wangu uwe sababu ya wewe kupata stroke haya mengine tuachie tunayoyaweza haya maisha yanamengi ndani yake mengine unaweza zimia!