msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,508
- 6,721
Wacha maneno mingi... Kata mzuzu... Wako huo....mkuuHuyu Bia anafikiri anaweza kudivert watu kutoka kwenye uzembe wa Serikali ya ccm na vijiuzi vya kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha maneno mingi... Kata mzuzu... Wako huo....mkuuHuyu Bia anafikiri anaweza kudivert watu kutoka kwenye uzembe wa Serikali ya ccm na vijiuzi vya kijinga
Wacha maneno mingi... Kata mzuzu... Wako huo....mkuuHuyu Bia anafikiri anaweza kudivert watu kutoka kwenye uzembe wa Serikali ya ccm na vijiuzi vya kijinga
Mambo ya usalama uyajulie wapi ww?Mkuu Mambo ya usalama hutakiwi kuandika kila Kitu nisije kaa selo bure
Ndugu Watanzania mnatakiwa mjivunie kuwa Watanzania, Tanzania imebarikiwa sana, si kila Nchi imebarikiwa duniani
Leo nimekumbuka ile Kibiti show Au Kibiti rescue
Show ambayo wale wanaojiita magaidi hawataki tena hata kusikia neno Tanzania wale wanaumwe walipigwa, wakapigika ni wazi walijutia kuingia Tanzania they Will never repeat the same mistake
Shuhuda wa tukio ananiambia walau ile kibiti rescue ingerushwa YouTube Sidhani kuna Nchi Africa na duniani ingeisogelezea Tanzania
Shuhuda ananiambia wale mabwana ilifikia hatua wale mabwana wanaojiita magaidi walivua nguo zao za mapambano na silaha wakazichimbia chini,
Wakavaa suruali na shati wakachomekea ili kujinusuru Lakini walimulikwa
Kwa kuwa Mambo ya jeshi hayatakiwi kuwekwa mtandaoni kwa usalama wa nchi naishia hapa
Ila nimesimuliwa Mengi sana Kuhusu Kibiti show iliyohusisha....