Show ya Kiba Dodoma inarudiwa lini? Tar 28 hakutokea au ndio tumetapeliwa?

mr gentleman

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,223
4,673
"Sisi mashabiki wa muziki hapa Dodoma tunauliza ile show ya marudio aliyotuhaidi king kiba itafanyika lini? Maana tulihaidiwa tarehe 28 tutaenda kumuona lakini mpaka leo tarehe 2 January hatupewi update yoyote.

Kiba atuambie au ndio kashatudhulumu pesa yetu elfu 25 ya kiingilio? Siku nyingine ni nani ataenda kwenye show za huyu msanii kama ndio amekuwa tapeli kiasi hiki? Hii dharau ya Kiba inatoka wapi wakati sisi tumetoa pesa yetu na tukasubiri mpaka alfajiri haya ndio malipo yake? "

Nimemsikia kijana mmoja wa Udom akitoa haya maneno kwa uchungu mkubwa hapa maeneo ya Area C Dodoma.
 
"Sisi mashabiki wa muziki hapa Dodoma tunauliza ile show ya marudio aliyotuhaidi king kiba itafanyika lini? Maana tulihaidiwa tarehe 28 tutaenda kumuona lakini mpaka leo tarehe 2 January hatupewi update yoyote.

Kiba atuambie au ndio kashatudhulumu pesa yetu elfu 25 ya kiingilio? Siku nyingine ni nani ataenda kwenye show za huyu msanii kama ndio amekuwa tapeli kiasi hiki? Hii dharau ya Kiba inatoka wapi wakati sisi tumetoa pesa yetu na tukasubiri mpaka alfajiri haya ndio malipo yake? "

Nimemsikia kijana mmoja wa Udom akitoa haya maneno kwa uchungu mkubwa hapa maeneo ya Area C Dodoma.
Show ni January 28
 
sasa nyie mnaanzaje kwenda kwa mtoto wa kariakoo jamani.? kwani hamjui kama kariakoo kuna watoto wengi wa kihuni (ha ha haaa.!) poleni sana.

lakini si Mondi alikuja hapo Jamuhuri Stadium kuwafuta machozi juzi kati hapo baada ya kiba kuwazingua.? au mlikuwa mmeshaishiwa hela ya kiingilio baada ya kiba kuwaingiza mjini.?

anyways, poleni sana. siku nyingi muwe mnaangalia na watu walio serious na kazi ya burudani. kwa sasa ni Mondi, labada na wengine kina Darasa ingawa nao wakati mwingine wanazingua kwa ulevi wakiwa kazini.
 
"Sisi mashabiki wa muziki hapa Dodoma tunauliza ile show ya marudio aliyotuhaidi king kiba itafanyika lini? Maana tulihaidiwa tarehe 28 tutaenda kumuona lakini mpaka leo tarehe 2 January hatupewi update yoyote.

Kiba atuambie au ndio kashatudhulumu pesa yetu elfu 25 ya kiingilio? Siku nyingine ni nani ataenda kwenye show za huyu msanii kama ndio amekuwa tapeli kiasi hiki? Hii dharau ya Kiba inatoka wapi wakati sisi tumetoa pesa yetu na tukasubiri mpaka alfajiri haya ndio malipo yake? "

Nimemsikia kijana mmoja wa Udom akitoa haya maneno kwa uchungu mkubwa hapa maeneo ya Area C Dodoma.
Wakati mwingi muangalie na wasanii wa kwenda kwenye show zao.
Kiba kapanda shabiby line toka Dar kafika Dodoma saa 7 za usiku,unategemea nn kwa mtu mzembe kama huyo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom