Mzee wa Ndogo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 204
- 79
Nilikuwa najiandaa nimpigie kula diamond kwenye tuzo za BET lakini baada ya kuona video ya show yake ya majuzi huko kwa malkia imenibidi nifikirie mara mbili.Je nimpigie kura kwa kuwa ni mtanzania mwenzangu au kwa kuwa kiwango chake kipo juu katika kutunga na kughani mashairi? heaven on desert
See link Diamond live perfomance in London - YouTube
See link Diamond live perfomance in London - YouTube
Last edited by a moderator: